Niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni

Niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni

p2k

Senior Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
108
Reaction score
261
Kwa hili acha niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni maana hali ilikuwa mbaya sana.

Na nyie wanafunzi someni sasa acheni anasa.

ASANTE.
 
Kama umeshindwa kuelewa hiyo lugha mkuu......jitathimini.
Wewe ndiyo ujitathimini, wameongezewa ada kivipi? Bodi ya mikopo inaweza vipi kuongeza Ada ya kozi kwani wao wanahusika na kupanga ada ya kozi kwenye vyuo husika. Acheni ujuaji unatoa taarifa Kama Kila mtu yupo huko chuoni,
 
Wewe ndiyo ujitathimini, wameongezewa ada kivipi? Bodi ya mikopo inaweza vipi kuongeza Ada ya kozi kwani wao wanahusika na kupanga ada ya kozi kwenye vyuo husika. Acheni ujuaji unatoa taarifa Kama Kila mtu yupo huko chuoni,
kuna sehemu pameandikwa ada ya kozi hapo??.......kazi ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu unaijua??

kaka acha hizi mambo za kujikuta ww mtafsiri mzuri ili upate pa kukosoa aya mambo yalishapita na wakati hasa kwa sisi wanaume........hiyo lugha imeeleweka vizuri tu........issue ni wewe unatafuta kuonekana unajua na wakati hamna kitu.

kwenye mikopo ya wadogo zetu Bodi ya Mikopo imewaongezea kiasi fulani sehemu ya tuition fee na wengi wao wamepata karibia kiasi chote cha ada.

ASANTE.
 
Wewe ndiyo ujitathimini, wameongezewa ada kivipi? Bodi ya mikopo inaweza vipi kuongeza Ada ya kozi kwani wao wanahusika na kupanga ada ya kozi kwenye vyuo husika. Acheni ujuaji unatoa taarifa Kama Kila mtu yupo huko chuoni,
taarifa haijakamilika ina hang. kimsingi ulivyomjibu first commentor kidogo umenipa mwanga.
 
Wewe ni pimbi kabisa watu tuko vyuoni mwaka wa pili tumekosa mkopo alafu unaleta mapambio au kwavile ndugu yako kapata acheni kusifia ujinga
Ulipata asilimia ngapi pia acha matusi Mimi naweza kukusaidia ukapata hata kitu kidogo.
 
Kwa hili acha niwapongeze Bodi ya Mikopo ya elimu ya juu kwa kuwaongezea ada hawa wadogo zetu huko vyuoni maana hali ilikuwa mbaya sana.

Na nyie wanafunzi someni sasa acheni anasa.

ASANTE.
Bodi ya mikopo siku hizi ndio wanatoza ada, halafu na wewe unapongeza?!

Huu uandishi wako unashida. Nadhani ulitaka kuandika kuwa bodi ya mikopo wamewaongezea boom wanafunzi wa vyuo vikuu kiasi cha pesa cha mkopo eneo la tuition fee.
 
Dah nimesoma 3 years bila mkopo wala harufu ya mkopo , jwa shidaaaa bin shidaaaa taaaabani afuuu hizi now ndo nasikis dah si ni bora wangenia tuu hata M.A. Na mimi nikafaidi life la chuo kikuu nikila vya kuliwa
 
Dah nimesoma 3 years bila mkopo wala harufu ya mkopo , jwa shidaaaa bin shidaaaa taaaabani afuuu hizi now ndo nasikis dah si ni bora wangenia tuu hata M.A. Na mimi nikafaidi life la chuo kikuu nikila vya kuliwa
Hua inaendaga na upepo wa watu sio kila mwaka kuna fursa,
 
Mimi sipo Helsb hila naweza kukupa Mwongozo ukapata msaada zaidi
Kwa kiasi Fulani nilijua ni wajuaji tu wa jamii forum ndg ndo maana nilikujibu hivo sio kwamba Sina adabu Ila tuna kuwa tunakatishwa tamaa tukiamini ni yaleyale Ila Kama kuna njia mbadala nisaidie maana nilijua najibizana na Rika langu nimejikuta natamani huo msaada
 
Mimi sipo Helsb hila naweza kukupa Mwongozo ukapata msaada zaidi
Mkuu samahani, hivi kwa mfano ukiwa umezidi miaka 35 na ni mtumishi wa serikali ukawa unataka kujiendeleza chuo kikuu, Unaweza kupata mkopo kweli?? Au Awamu hii ya mama imeondoa hivyo vigezo vya umri na utumishi wa umma?
 
Back
Top Bottom