bakundande jr
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 507
- 672
Nisaidie huo muongozo kiongoziMimi sipo Helsb hila naweza kukupa Mwongozo ukapata msaada zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie huo muongozo kiongoziMimi sipo Helsb hila naweza kukupa Mwongozo ukapata msaada zaidi
Njoo pm nikupatie maelekezo na namba ya kiongoz wa hapo bodi.Nisaidie huo muongozo kiongozi
Unaweza Kupata lakini Kama utatumia mbinu mbadala nadhani umenielewa Mkuu.Mkuu samahani, hivi kwa mfano ukiwa umezidi miaka 35 na ni mtumishi wa serikali ukawa unataka kujiendeleza chuo kikuu, Unaweza kupata mkopo kweli?? Au Awamu hii ya mama imeondoa hivyo vigezo vya umri na utumishi wa umma?
0747195033Unaweza Kupata lakini Kama utatumia mbinu mbadala nadhani umenielewa Mkuu.
Nimekusoma mkuu wanguUnaweza Kupata lakini Kama utatumia mbinu mbadala nadhani umenielewa Mkuu.
Mkuu samahan, naomba mwongozo maan nimepitisha miaka 6,na hapo wanatak miaka 5Unaweza Kupata lakini Kama utatumia mbinu mbadala nadhani umenielewa Mkuu.