doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 45
- 56
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaa utotoo
...
😂 unapojiita komeo la chuma kwani wewe ni komeo kweliSHULE MNAFUNGUA LINI?
Kiukweli ni baada ya kuingia kwenye chumba cha mtoto wangu nmekutaRudisha makorokoro yao mana hakuna faida ya kukaa na taka taka kama hizo
😂 unapojiita komeo la chuma kwani wewe ni komeo kweli
Same to me nnapojiita mwanafunzi sio kwamba ni mwanafunzi
Kiukweli ni baada ya kuingia kwenye chumba cha mtoto wangu nmekuta
As long as nlichoandika sio tishio la usalama wa nchi hii na raia sioni kama ina shida labda ulivyopokea ndugu ila kama post hii imekufanya uchafukwe basi kumradhiKwan wamekuomba😄
Si sababu ya jina. Ulichoandika ni jambo la kitoto la wanafunzi wa kidato cha 1 au 2
Aachane navyo tu
Basi awaite waje kuvichukua wenyewe...Aachane navyo tu
Weeeeeeehhhh ! Huyo Pepo ashendweeee loBasi awaite waje kuvichukua wenyewe...