Hembi niambie we unaimani ya Dini gani?
Na ukienda kanisani unapoinama kumuomba mungu unajua kwamba kuna dhulma umafanya na yeye anaijua na kila unapo sali wakati wa kula chakula unajua kwamba mungu anataka ule jasho lako la halali,na je unahisi kwamba dua ya mtu mwenye kula dhulma mungu anaipokea?jibu hapana,mungu anajua yaliyomo mioyoni mwetu,na wenye kumuhadaa kwa maombi yao yeye hujitenga na heri na baraka zote kwa watu hao,na pia huwaadhibu katika hali ambayo hawataitarajia na kuwadhalilisha hapa hapa duniani ili iwe mfano.
Ujana usikuhadae,lipa pesa za watu nautoe taarifa.
Dini zote zinasemakwamba dhulma ni mbaya sana na haina baraka kuanzia duniani na siku ya mwisho ndio mbaya zaidi.
Usifikire huko unakoenda kwamba ndio patakuwa salam kwa hilo,maana mungu anakuona na anaona dhamira yako moyoni.
Anaweza kukupa mtihani mkubwa kama adhabu juu ya hilo,tambua kwamba unahaki ya watu.
Mifano ipo mingi tu ya mwisho wa watu wenye kudhulumu,na siku hizi mungu hakopeshi,hapa hapa tu duniani tunaona watu wanavyoadhirika.Utapea kwa muda tu ila kuna muda utakumbuka comments zangu