Niwatie moyo (selected/notyet/cheking in progress) na jina halionekani

Niwatie moyo (selected/notyet/cheking in progress) na jina halionekani

sijaliona katika list yao ila ndo yakwanza watatoa nyingine siku za karibuni tukumbushane tuu kupitia PM
 
yanapatikana hapa Home
na vile vile katika list za vyuo
View attachment 190486 Screenshot (9).png
apo homa apo yaani
http://cas.tcu.go.tz/2/selected.php
 
sijaliona katika list yao ila ndo yakwanza watatoa nyingine siku za karibuni tukumbushane tuu kupitia PM

Mbona mengine hapo tcu yapo,kwenye profile not yet.sasa hapo maana yake nin??
 
ni kusubiri tuu ingawa da inakatisha tamaa ila kuwa mvumilivu
 
Ndugu hebu tusaidie fb page ya nacte kuna tangazo linalosema kunamajina 3000+ waliopangiwa vyuo ila kwavile wengine hawajareset wanaweza kufanya transfa bure na kuna majina 1000+ hawapangiwa kutokana na sababu mbalimbali, kama unaweza tunaomba uyaweke hapa maana simu haziwezi kuona. Thanks
 
Kuna mtu nilimuombea ISW, TCU wanasema kapata na kwenye account yake NACTE wanasema selected/not yet confirmed. Nimeona majina ISW lakini lake halionekani. Nimeshindwa kumuambia, alishakuwa na matumaini makubwa ya kuanza chuo mwaka huu
 
Kuna mtu nilimuombea ISW, TCU wanasema kapata na kwenye account yake NACTE wanasema selected/not yet confirmed. Nimeona majina ISW lakini lake halionekani. Nimeshindwa kumuambia, alishakuwa na matumaini makubwa ya kuanza chuo mwaka huu

Asubiri batch nyingine mkuu,kama hayupo aende mpaka hapo chuo then watawasiliana na nacte&tcu kuona tatizo lipo wapi
 
Asubiri batch nyingine mkuu,kama hayupo aende mpaka hapo chuo then watawasiliana na nacte&tcu kuona tatizo lipo wapi

Nimemuambia afanye hivyo, ila nimeangalia sasa hivi kwenye account yake imeandika selected. Mara ya kwanza aliandikiwa selected/not yet confirmed. Ngoja tusubiri majina mengine huku akienda kuulizia chuo husika
 
Nimemuambia afanye hivyo, ila nimeangalia sasa hivi kwenye account yake imeandika selected. Mara ya kwanza aliandikiwa selected/not yet confirmed. Ngoja tusubiri majina mengine huku akienda kuulizia chuo husika
Yap,tusubiri mkuu
 
Ndugu hebu tusaidie fb page ya nacte kuna tangazo linalosema kunamajina 3000+ waliopangiwa vyuo ila kwavile wengine hawajareset wanaweza kufanya transfa bure na kuna majina 1000+ hawapangiwa kutokana na sababu mbalimbali, kama unaweza tunaomba uyaweke hapa maana simu haziwezi kuona. Thanks


kunapost nikiyaweka yotee
 
Back
Top Bottom