Niwe mkweli sasa nataka mchumba hapa hapa JF awe na pass ya kusafiria

Niwe mkweli sasa nataka mchumba hapa hapa JF awe na pass ya kusafiria

Joined
Feb 25, 2018
Posts
90
Reaction score
76
Hello habari zenu

Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point

Kwa walio serious tu plz

Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30
Ninaishi Netherlands muda huu
Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin imekuwa ni ngumu kutokana na kwamba siishi huko, na mazingira ya ku interrupt yameishindikana,
Nina hitaji mke wa kuoa maana nikiyekuwa naye tumezinguana na nimeshapoteza muda wangu juu yake, na umri wangu nataka kuoa, I can't wait any more, natarajia kuoa mwakani mwezi wa 12,

Sifa na aina ya mwanamke nayemtaka
1.Awe Mkristo
2. Awe na umri 24+
3. Shule haina umuhim sana ila awe angalau amemaliza cheti na kuendelea
4. Awe natural niwaweke wazi sipendi wanawake wanaojichubua.chubua na kujifanya editing,

5. Hasiwe na mtoto kabisaa
6. Najua atakuwa na boyfriend lakin awe na uwezo wa kumsahau awapo na mimi,

7. Awe anaishi na ndugu zake , wanawake wengi wanaopanga wenyewe hasa maeneo ya sinza na kwingineko ni hatari mno, naongea kutokana na experience,

8. Awe na uwezo wa kuchanganua maisha na hali kulingana na muda,

9. Awe anatoka katika makabila yafuatayo
A.Muhaya
B. Msukuma
C. Mhangaza
D. Mnyarwanda

10. Awe na pass ya kusafiria au awe na vigezo vya kupata pass ya kusafiria,

11. Awe tiyari kupima afya na kizazi

12. Sitaki mfupi sana wala mwembamba mno au mnene sana yan awe saizi ya kati,

Mwonekano wake sample nazopenda


C2c3ot9WEAAANrw.jpg
Miss-Gisabo.jpg
images (60).jpeg
images (59).jpeg
images (58).jpeg
 
Kila la kheri mkuu, wapo wengi tu hapa utapata, wanawake sasa changamkieni fulsa hiyo.
 
Yaan unaishi majuu unakosa demu ,ndio maana kuna vichaa humu kumbe maisha ya nje ni wapweke sana
Wenye bahati zao mkuje muwe na kichura ee

Hahahaha, mama Sabrina Hapo ungeshindwa kama usingekuwa na G, koz kigezo cha kutokuwa na mtoto kingekuferisha.
 
Haahahah G wangu yuko vizurii mimi ntaenda Trump kumfata na so asitunyanyase sana,we huoni siku hizi nna kiburi

Hahahahahaha, mama Sabrinaaaaaaa kimfaacho mtu chake bwana uende huko mwenzako chupa zimeshajaa ukapunguze ujazo vinginevyo watakusaidia kumpunza ohoooooo endelea kuganda hapa
 
Sasa muda wa kukaa kuchagua itakuwa mrefu wakati sina hata likizo
Huo mtihani mkubwa, maana kuona mwanamke kwa macho yako mwenyewe kabla ya kuamua ni muhimu Sana, kama kuja imeshindikana basi washirikishe jambo hilo ndugu zako wa karibu Sana, wakupe japo wasifu wa msichana wakutumie picha za kutosha, kama anakuridhisha omba mawasiliano naye, muanze kuwasiana, katika mawasiliano naye, unaweza japo kumfahamu kwa asilimia chache ambazo zitakusaidia.
 
Back
Top Bottom