Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Mbona kama umevutika friend?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama umevutika friend?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]😀😀😀😀
Soon babaHahahahahaha, mama Sabrinaaaaaaa kimfaacho mtu chake bwana uende huko mwenzako chupa zimeshajaa ukapunguze ujazo vinginevyo watakusaidia kumpunza ohoooooo endelea kuganda hapa
We cheka tu wenzako tuna majonzi hapa muda si mrefu tunaanza kutumia majina org na sura zetuMbona kama umevutika friend?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
But why??? Wanatuburuza sana. Kwani wanataka kuzuia tusifanye vitu gani? Nimechukia sasa na haya mamboWe cheka tu wenzako tuna majonzi hapa muda si mrefu tunaanza kutumia majina org na sura zetu
Mtaongea mpaka kichinaa safari hiiBut why??? Wanatuburuza sana. Kwani wanataka kuzuia tusifanye vitu gani? Nimechukia sasa na haya mambo
Yani tunarudishwa enzi za ujimaMtaongea mpaka kichinaa safari hii
Sipatii picha nahisi kuumwaYani tunarudishwa enzi za ujima
Iko Powa hiiHuo mtihani mkubwa, maana kuona mwanamke kwa macho yako mwenyewe kabla ya kuamua ni muhimu Sana, kama kuja imeshindikana basi washirikishe jambo hilo ndugu zako wa karibu Sana, wakupe japo wasifu wa msichana wakutumie picha za kutosha, kama anakuridhisha omba mawasiliano naye, muanze kuwasiana, katika mawasiliano naye, unaweza japo kumfahamu kwa asilimia chache ambazo zitakusaidia.
kanchekeshaaa sanaaa.... kaamua mambo yote yawe wazi,, ila mambo ya msingi ajaweka vizur... ana hela au mbabaishaji tuu majuu,, mtu atoke huku na uLenny wake akaungane na hali ngumu uholanzi!!! aeleze nayeye ako na maisha gani aiseeMbona kama umevutika friend?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So lazima kujiexpose kwa mwanzokanchekeshaaa sanaaa.... kaamua mambo yote yawe wazi,, ila mambo ya msingi ajaweka vizur... ana hela au mbabaishaji tuu majuu,, mtu atoke huku na uLenny wake akaungane na hali ngumu uholanzi!!! aeleze nayeye ako na maisha gani aisee
chagua sanaaa.Hello habari zenu
Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point
Kwa walio serious tu plz
Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30
Ninaishi Netherlands muda huu
Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin imekuwa ni ngumu kutokana na kwamba siishi huko, na mazingira ya ku interrupt yameishindikana,
Nina hitaji mke wa kuoa maana nikiyekuwa naye tumezinguana na nimeshapoteza muda wangu juu yake, na umri wangu nataka kuoa, I can't wait any more, natarajia kuoa mwakani mwezi wa 12,
Sifa na aina ya mwanamke nayemtaka
1.Awe Mkristo
2. Awe na umri 24+
3. Shule haina umuhim sana ila awe angalau amemaliza cheti na kuendelea
4. Awe natural niwaweke wazi sipendi wanawake wanaojichubua.chubua na kujifanya editing,
5. Hasiwe na mtoto kabisaa
6. Najua atakuwa na boyfriend lakin awe na uwezo wa kumsahau awapo na mimi,
7. Awe anaishi na ndugu zake , wanawake wengi wanaopanga wenyewe hasa maeneo ya sinza na kwingineko ni hatari mno, naongea kutokana na experience,
8. Awe na uwezo wa kuchanganua maisha na hali kulingana na muda,
9. Awe anatoka katika makabila yafuatayo
A.Muhaya
B. Msukuma
C. Mhangaza
D. Mnyarwanda
10. Awe na pass ya kusafiria au awe na vigezo vya kupata pass ya kusafiria,
11. Awe tiyari kupima afya na kizazi
12. Sitaki mfupi sana wala mwembamba mno au mnene sana yan awe saizi ya kati,
Mwonekano wake sample nazopenda
View attachment 754998 View attachment 754999 View attachment 755000 View attachment 755001 View attachment 755002
Waeza kuta na yeye hana anatafuta mlezi. Mambo ni mengiikanchekeshaaa sanaaa.... kaamua mambo yote yawe wazi,, ila mambo ya msingi ajaweka vizur... ana hela au mbabaishaji tuu majuu,, mtu atoke huku na uLenny wake akaungane na hali ngumu uholanzi!!! aeleze nayeye ako na maisha gani aisee
Jiexpose babu tuhamasike Cc Phenomenal womanSo lazima kujiexpose kwa mwanzo
Haswaaaaaaa.... mkono mtu nani alambe????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Hasw
Haswaaaaaaa.... mkono mtu nani alambe????
Huangukia koromaaaMkuu una
chagua sanaaa.