Niwe mkweli sasa nataka mchumba hapa hapa JF awe na pass ya kusafiria

Iko Powa hii
 
Mbona kama umevutika friend?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kanchekeshaaa sanaaa.... kaamua mambo yote yawe wazi,, ila mambo ya msingi ajaweka vizur... ana hela au mbabaishaji tuu majuu,, mtu atoke huku na uLenny wake akaungane na hali ngumu uholanzi!!! aeleze nayeye ako na maisha gani aisee
 
kanchekeshaaa sanaaa.... kaamua mambo yote yawe wazi,, ila mambo ya msingi ajaweka vizur... ana hela au mbabaishaji tuu majuu,, mtu atoke huku na uLenny wake akaungane na hali ngumu uholanzi!!! aeleze nayeye ako na maisha gani aisee
So lazima kujiexpose kwa mwanzo
 
Shape hizi lazima umpokonye mtu , lakini kupata ambaye yupo single sio rahisi ?
 
Mkuu una
chagua sanaaa.
 
kanchekeshaaa sanaaa.... kaamua mambo yote yawe wazi,, ila mambo ya msingi ajaweka vizur... ana hela au mbabaishaji tuu majuu,, mtu atoke huku na uLenny wake akaungane na hali ngumu uholanzi!!! aeleze nayeye ako na maisha gani aisee
Waeza kuta na yeye hana anatafuta mlezi. Mambo ni mengii

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…