Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
- Thread starter
- #21
Tulia wewe 😁😁 tuunge unge maisha yaende 😃Uonevu huo.Ni lini Mwita akajua kiswahili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe 😁😁 tuunge unge maisha yaende 😃Uonevu huo.Ni lini Mwita akajua kiswahili?
mimi na urafiki na mwanamke haupo hata kama unajifanya mimi ni rafiki yako ntafanya niwezalo nikukosee maana mafahari wawili hawawezi kaa zizi moja.
Nimemaanisha kuwa hatuwezi kufanana kama wote ni wakiume wakati ni jinsia mbili tofauti uvumilivu utaisha nitakuomba mzigo hapo kunakuwa na urafiki! AuFahari?? Kwahiyo na sisi KE mafahari 🤣🤣🤣
Ni sahihi ila ukweli utabakia pale pale kwamba rafiki wakike na kiumbe hawawezi kukwa pamoja bila kuombana mechiMada ngumu
Ninachojua ni kwamba marafiki(ke&me) wanaweza kukulana kishkaji tu
Kingine ninachojua mwanamke asiyenivutia anaweza kuwa rafiki yangu
😂Pole fahari mwenzetu....
Ndio nafahamu mkuu sema nimewasilisha kama kutoa mfano kwamba "hatuwezi kuwa na mfanano wa pamoja wakati tuko tofauti huku nikijua kabisa wewe siyo ndugu yangu lazima nikukosee heshima nitakufanya unione mbaya ili niwe salama kwa tamaa yanguMkuu fahari ni ng'ombe dume...
mm pia✅Katika maisha yangu nachotaka kusema mimi na urafiki na mwanamke haupo hata kama unajifanya mimi ni rafiki yako ntafanya niwezalo nikukosee maana mafahari wawili hawawezi kaa zizi moja.
Wapo wanaoweza ila Kwa upande wangu siwezi kama nilikutongoza ukasema hapana tuwe marafiki hapo ndio imeisha hiyo sitataka mazoea kabisa, hakunaga urafiki wa mke na mume.
Wanaume sisi tunajua tabia zetu hivyo mtu akisema sisi ni marafiki tu ukiamini, anaweza akawa anatumia urafiki huo akiwa na malengo yake siyo sawa kabisa kwamba mwanaume na mwanamke wanaweza kuwa na urafiki kwa muda mrefu hasa wale waliopo kwenye ndoa.
Kuna muda itafikia ataona kama anaweza kufikia mpaka Langoni hivyo anajaribu bahati yake, na ogopa mtu huyu akifika hatua hii na uliamini ni rafiki tu utajuta aisee.
Haya ni maoni yangu siyo sheria kwamba kila mtu yuko hivi.
Na kweli amabao hawana zawafi za kuwapa ndio hivo na mademu hawana habari naoKufupisha stori yako ungepaswa kuandika kuwa wewe ni bahili kwa wanawake basi tungekuelewa mapema. Umejitahidi kuzunguka sana mkuu kuandika ujumbe wako