Niwe mkweli sina rafiki wakike na haitatokea

Fahari?? Kwahiyo na sisi KE mafahari 🀣🀣🀣
Nimemaanisha kuwa hatuwezi kufanana kama wote ni wakiume wakati ni jinsia mbili tofauti uvumilivu utaisha nitakuomba mzigo hapo kunakuwa na urafiki! Au
 
Mkuu fahari ni ng'ombe dume...
Ndio nafahamu mkuu sema nimewasilisha kama kutoa mfano kwamba "hatuwezi kuwa na mfanano wa pamoja wakati tuko tofauti huku nikijua kabisa wewe siyo ndugu yangu lazima nikukosee heshima nitakufanya unione mbaya ili niwe salama kwa tamaa yangu
 
mm piaβœ…
 
Kufupisha stori yako ungepaswa kuandika kuwa wewe ni bahili kwa wanawake basi tungekuelewa mapema. Umejitahidi kuzunguka sana mkuu kuandika ujumbe wako
Na kweli amabao hawana zawafi za kuwapa ndio hivo na mademu hawana habari nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…