Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Kuna siku nilisikia kuna vidonge vya supu ili kuifanya kuwa na ladha lakini niliyemsikia akisema siweza kupata fursa ya kumuuliza kwa kuwa nilikuwa safarini na yeye ni muuzaji wa njiani na alikuwa amezongwa na wateja wengi.
Je, ni kweli kuna vidonge vya supu? Au niweke nini kwenye supu ili iwe na ladha ya kuvutia sana. Mimi nikiandaa supu nachemsha nyama, karoti na wakati mwingine naweka na ndizi.
Niongeze kitu gani au nipunguze nini wakuu?
Je, ni kweli kuna vidonge vya supu? Au niweke nini kwenye supu ili iwe na ladha ya kuvutia sana. Mimi nikiandaa supu nachemsha nyama, karoti na wakati mwingine naweka na ndizi.
Niongeze kitu gani au nipunguze nini wakuu?