Niwekeze kwenye kufuga nguruwe au nifanye biashara ya duka?

Niwekeze kwenye kufuga nguruwe au nifanye biashara ya duka?

Lapa

Member
Joined
May 9, 2024
Posts
20
Reaction score
40
Habari wana JF husika na mada tajwa hapo juu'

Mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo nimebakiwa na milioni tatu.

Mgawanyo wa millioni tatu katika ufugaji wa nguruwe ni kama ifuatavyo;

-1.8million nijenge rumu moja ambayo haitamalizika nikimaanisha sitoweka sakafu wala kupiga plaster ndani nitamwaga zege tuu pamoja na kuziba madirisha kwa mbao aina ya kuezeka nitalaza tu bati ,choo nitagongea kwa jirani kwa muda uku nikiendelea kujitafuta mdogo mdogo.

- laki 3 nitatumia katika kujenga mabanda kwani mbao ninazo nanitayajenga mwenyewe.

- laki 4 nitanunua nguruwe ambae yupo tayari kubeba mimba(dume na jike).

- laki moja na nusu nitatenga katika kuwahudumia upande wa chakula. na madawa.

mambo mengine nitakua najiongeza kwani nitakua bado napambana upande wapili.

Idea ya pili ni duka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani
Kwa upande wa duka nitawekeza millioni 2.3 tu
Naombeni ushauri kwa wataalamu
 
Habari wana jf husika na mada tajwa hapo juu'
mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo nimebakiwa na milioni tatu.
mgawanyo wa millioni tatu katika ufugaji wa nguruwe ni kama ifuatavyo;
-1.8million nijenge rumu moja ambayo haitamalizika nikimaanisha sitoweka sakafu wala kupiga plaster ndani nitamwaga zege tuu pamoja na kuziba madirisha kwa mbao aina ya kuezeka nitalaza tu bati ,choo nitagongea kwa jirani kwa muda uku nikiendelea kujitafuta mdogo mdogo.
-laki 3 nitatumia katika kujenga mabanda kwani mbao ninazo nanitayajenga mwenyewe.
-laki 4 nitanunua nguruwe ambae yupo tayari kubeba mimba(dume na jike).
-laki moja na nusu nitatenga katika kuwahudumia upande wa chakula. na madawa.

mambo mengine nitakua najiongeza kwani nitakua bado napambana upande wapili.

idea ya pili ni diuka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani
kwa upande wa duka nitawekeza millioni 2.3 tu
naombeni ushauri kwa wataalamu
Hiyo idea ya nguruwe na mchanganuo wake imekaa poa sana.

Kama eneo linaruhusu weka na matuta ya mboga mboga, hapo huwezi kukosa hela ya sabuni.

Kila la kheri, mwanzo mgumu ila pambana mpaka kieleweke.
 
Kama izo kazi zote hujawai fanya yaani hauna uzoefu nazo Bora ukomae na hiyo ya duka maana haina mambo mengi kama ile ya ngurue . Na hiyo ya duka usiingize hela yote gawa ela mara 2 au 3 kulingana na mtaji ulio nao then vitu vingine utakua unaongezea dukani kulingana na mahitaji ya wateja. Iyo biashara ya duka nayo in miiko yake.
 
Habari wana jf husika na mada tajwa hapo juu'
mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo nimebakiwa na milioni tatu.
mgawanyo wa millioni tatu katika ufugaji wa nguruwe ni kama ifuatavyo;
-1.8million nijenge rumu moja ambayo haitamalizika nikimaanisha sitoweka sakafu wala kupiga plaster ndani nitamwaga zege tuu pamoja na kuziba madirisha kwa mbao aina ya kuezeka nitalaza tu bati ,choo nitagongea kwa jirani kwa muda uku nikiendelea kujitafuta mdogo mdogo.
-laki 3 nitatumia katika kujenga mabanda kwani mbao ninazo nanitayajenga mwenyewe.
-laki 4 nitanunua nguruwe ambae yupo tayari kubeba mimba(dume na jike).
-laki moja na nusu nitatenga katika kuwahudumia upande wa chakula. na madawa.

mambo mengine nitakua najiongeza kwani nitakua bado napambana upande wapili.

idea ya pili ni diuka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani
kwa upande wa duka nitawekeza millioni 2.3 tu
naombeni ushauri kwa wataalamu
Ni hatua nzuri hasa kwa umri wako na kiu ya mafanikio uliyo onyesha ushauri wangu hiyo nyumba ya 1.8m utamaliza mtaji chakufanya kwwnye hiyo kiwanja jenga banda la ngurue kwanza cjajua hko wanapatikana kwa bei gani walau anza na ngurue 5 ambao cyo wa kubwa sana then pesa itakayo baki taft geto la kupanga kwa 10k kwa mwezi then anza kazi ….. najua changamoto ni nyingi lakini anzia hapo kwanza
 
Biashara ya ufugaji wa nguruwe ni hatari Kwa afya mkuu
Niliwahi kufuga nguruwe 8 walinitoa jasho la pumb* yaan mwisho wA siku unakuta mfukoni unae 5000 nguruwe hawajala na watoto nyumbani chukula wanapigan miayo! Utaamua mwenyweee Nan ale hapo?
Komaa na biashara ya duka sio mbaya tafuta Uzi wa duka la reja reja utakusaidia Sana
Biashara ya duka ndio naifanya mm Kwa Sasa natoa faida ya 10% kwenye mauzo

So ukiuza 300,000 unatoa 30,000 kama faida
Ila usilitegemee Sana duka kwenye kulisha familia
Wish you all the best
 
Biashara ya duka piga ❌

Mimi sio mtaalamu s
kwenye nguruwe kama unapenda kutoka moyoni fanya hii mkuu inalipa sana.

Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyew.

Wafanyabiashara Wana nyanyaswa sana tra kutoboa ni ngumu sana
Nitajie jina la mfugaji tajiri waarufu kuliko waote wote ndan ya Tanzania hii ? Na mm ntakutajia wafanya biashara maarufu matajiri zaidi duniani
 
Fanya kilimo Cha mboga mboga Kwa kufuata taratibu za kitaalam,ndani ya miezi miwili au mitatu tayari utakuwa sokoni,kimbukuka chakula ni muhimu Kwa Kila mtu,hivyo ni lazima uuze,mtaji ukikuwa ndio ujiongeze katika kufuga hawo nguruwe.
 
kivipi
Ni hatua nzuri hasa kwa umri wako na kiu ya mafanikio uliyo onyesha ushauri wangu hiyo nyumba ya 1.8m utamaliza mtaji chakufanya kwwnye hiyo kiwanja jenga banda la ngurue kwanza cjajua hko wanapatikana kwa bei gani walau anza na ngurue 5 ambao cyo wa kubwa sana then pesa itakayo baki taft geto la kupanga kwa 10k kwa mwezi then anza kazi ….. najua changamoto ni nyingi lakini anzia hapo kwanza
shukrani lakini nataka kujenga sababu ya kuweka usalama pia na muda wa kuwaangalia hasubuh mna jion ninapotoka kazini eneo lilipo hakuna nvyumba vya kupanga kwahiyo siwzi waacha pasipo uanglizi wataibiwa
 
Back
Top Bottom