Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Ufugaji auna P.A mkuu wengi ni kimya kimya na ni miradi yenye fedha nyingi sana na maeneo walikowekeza ni nje ya miji ambako hata wenye husuda awawezi fikaNitajie jina la mfugaji tajiri waarufu kuliko waote wote ndan ya Tanzania hii ? Na mm ntakutajia wafanya biashara maarufu matajiri zaidi duniani