Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Ufugaji auna P.A mkuu wengi ni kimya kimya na ni miradi yenye fedha nyingi sana na maeneo walikowekeza ni nje ya miji ambako hata wenye husuda awawezi fikaNitajie jina la mfugaji tajiri waarufu kuliko waote wote ndan ya Tanzania hii ? Na mm ntakutajia wafanya biashara maarufu matajiri zaidi duniani
FUGA SAMAKIHabari wana jf husika na mada tajwa hapo juu'
mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo nimebakiwa na milioni tatu.
mgawanyo wa millioni tatu katika ufugaji wa nguruwe ni kama ifuatavyo;
-1.8million nijenge rumu moja ambayo haitamalizika nikimaanisha sitoweka sakafu wala kupiga plaster ndani nitamwaga zege tuu pamoja na kuziba madirisha kwa mbao aina ya kuezeka nitalaza tu bati ,choo nitagongea kwa jirani kwa muda uku nikiendelea kujitafuta mdogo mdogo.
-laki 3 nitatumia katika kujenga mabanda kwani mbao ninazo nanitayajenga mwenyewe.
-laki 4 nitanunua nguruwe ambae yupo tayari kubeba mimba(dume na jike).
-laki moja na nusu nitatenga katika kuwahudumia upande wa chakula. na madawa.
mambo mengine nitakua najiongeza kwani nitakua bado napambana upande wapili.
idea ya pili ni diuka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani
kwa upande wa duka nitawekeza millioni 2.3 tu
naombeni ushauri kwa wataalamu
Mzee SumryNitajie tajir mmoja wa hap bongo aliyefanikiwa kupitia kilimo au ufugaji?
Sumry utajiri aliupata kupitia Biashara ya usafirishaji then ndio akaja kwenye kilimoMzee Sumry
Sumry utajiri aliupata kupitia Biashara ya usafirishaji then ndio akaja kwenye kilimo
Waliofanikiwa kupitia Biashara
Reginald mengi
Mo dewji
Mohamed bakheresa
Abas gullamali
Joseph kusaga
Majizo wa E-fm
Unawafaham Mbogo ranch?Kuhusu kilimo huko vijijini kwenye mipunga hawana idadiNitajie tajir mmoja wa hap bongo aliyefanikiwa kupitia kilimo au ufugaji?
Inshallah Sheikh fuga Nguruwe. Wanalipa lakini angalia wateja huwa wakati wa mfungo wanapungua sanaHabari wana jf husika na mada tajwa hapo juu'
mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo nimebakiwa na milioni tatu.
mgawanyo wa millioni tatu katika ufugaji wa nguruwe ni kama ifuatavyo;
-1.8million nijenge rumu moja ambayo haitamalizika nikimaanisha sitoweka sakafu wala kupiga plaster ndani nitamwaga zege tuu pamoja na kuziba madirisha kwa mbao aina ya kuezeka nitalaza tu bati ,choo nitagongea kwa jirani kwa muda uku nikiendelea kujitafuta mdogo mdogo.
-laki 3 nitatumia katika kujenga mabanda kwani mbao ninazo nanitayajenga mwenyewe.
-laki 4 nitanunua nguruwe ambae yupo tayari kubeba mimba(dume na jike).
-laki moja na nusu nitatenga katika kuwahudumia upande wa chakula. na madawa.
mambo mengine nitakua najiongeza kwani nitakua bado napambana upande wapili.
idea ya pili ni diuka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani
kwa upande wa duka nitawekeza millioni 2.3 tu
naombeni ushauri kwa wataalamu
shida ya nguruwe ni mavi yake kunuka, nadhani ndio mnyama anayenuka kuliko wote, pia, wapi napata chakula, pia, nikiwaangalia mara kwa mara nakosa hamu ya kula nyama yao, hivyo bora tu wengine wafuge mimi nitamwonea kwenye sahani tu.Habari wana jf husika na mada tajwa hapo juu'
mimi ni kijana wa miaka 23 baada ya kupambana na vibarua nimejikusanya mpaka nimepata milioni 7 ambapo nilitoa milioni tatu nikanunua kiwanja milioni moja nikaweka dharura ya kiafya pamoja na kodi za nyumba wakati mapambano yanaendelea hivyo nimebakiwa na milioni tatu.
mgawanyo wa millioni tatu katika ufugaji wa nguruwe ni kama ifuatavyo;
-1.8million nijenge rumu moja ambayo haitamalizika nikimaanisha sitoweka sakafu wala kupiga plaster ndani nitamwaga zege tuu pamoja na kuziba madirisha kwa mbao aina ya kuezeka nitalaza tu bati ,choo nitagongea kwa jirani kwa muda uku nikiendelea kujitafuta mdogo mdogo.
-laki 3 nitatumia katika kujenga mabanda kwani mbao ninazo nanitayajenga mwenyewe.
-laki 4 nitanunua nguruwe ambae yupo tayari kubeba mimba(dume na jike).
-laki moja na nusu nitatenga katika kuwahudumia upande wa chakula. na madawa.
mambo mengine nitakua najiongeza kwani nitakua bado napambana upande wapili.
idea ya pili ni diuka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani
kwa upande wa duka nitawekeza millioni 2.3 tu
naombeni ushauri kwa wataalamu
😅😅🤣Weka picha ya swine
Mimi sili nyama ya nguruwe ila naitaji kukuambia kinyesi Cha nguruwe ndo kinanuka na kinyesi Cha mnyama yoyote yule hata binadamu , hivyo ukikuta nguruwe ni wachafu maana yake mfugaji ndo mchafu akuna wanyama wa kufugwa ambao ni wasafi kama nguruwe coz wanajua hata sehemu ya kujisaidia na sehemu ya kulala.shida ya nguruwe ni mavi yake kunuka, nadhani ndio mnyama anayenuka kuliko wote, pia, wapi napata chakula, pia, nikiwaangalia mara kwa mara nakosa hamu ya kula nyama yao, hivyo bora tu wengine wafuge mimi nitamwonea kwenye sahani tu.
Kwani akifuga mwisho si atauza, je kuuza sio kufanya biashara?Nitajie jina la mfugaji tajiri waarufu kuliko waote wote ndan ya Tanzania hii ? Na mm ntakutajia wafanya biashara maarufu matajiri zaidi duniani