Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
1.serikali haitaajiri tena walimu,badala yake itabidi wajitafutie wenyewe private. 2.wale wachache hasa wa sayansi watatakiwa kuandika barua wizarani ili waweze kuajiriwa serikalini. 3.walimu wa ngazi ya cheti watapata ajira kirahisi kwasababu ya urahisi wao(easy2carry) 4.hadhi ya kazi ya ualimu kuongezeka kwa sababu ya uadimu wake. Tupia namna uonavyo kuhusu ajira ya ualimu kwa miaka ijayo......