Niyonzima apewa jezi namba 8 Yanga, mshahara wake Kagere akasome

Waoneeni huruma akina Ngasa na Yondani wameitumikia Yanga kwa mshahara kiduchu....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii yote ni kujitahidi kuficha aibu ya tarehe 4 ili jezi za alizeti ziuzike zaidi.Basi sawa ila kumbukeni kuna jela na guest(Mishahara na malumbano baadae).
 
Ili kupata vichekesho vingine kama hiki , tunatuma neno "VICHEKESHO" kwenda namba ngapi vile? Maana nimeisahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…