HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Kwa wale waliooa haishangai mkeo kukukashifu mchana wakati usiku anakupa mambo matamu.Kiungo aliyesajiliwa kwa mbwembwe na klabu ya simba fadhil Hakizimana Niyonzima katika hali ya kushangaza alivyokuwa anahojiwa mubashara aliwaita mashabiki wa simba wapumbavu ,na kusema mashabiki wa simba wanahoji vitu vya kipumbavu na Niyonzima alizidi kuserereka na kusema ni upumbavu mkubwa kwa mashabiki wa simba kuniuliza kwanini ninazo jezi za yanga ,yanga ni klabu ninayoipenda tumepeana talaka lakini kuna vitu navimiss bado kutoka yanga .
Ndugu zanguni wana simba chonde chonde ukimuona Niyonzima kavaa jezi ya yanga usiende kumuuliza swali la kipumbavu kwa namna alivyotoa povu la hasira kwenye video utasababisha ujikute ICU na kuwapa shida familia yako na mashabiki wa simba wakuchangie pesa ya matabibu
Angalia video mkuuMleta mada inaelekea hujui kiswahili
Ndivyo akili za wavuvi wa kambale zilivyo. Mafuriko yanaathiri mpaka ubongo wasamehe tu.Mleta mada inaelekea hujui kiswahili
Hiyo premier league unayoiponda si ndio hiyo hiyo mpk leo mnasubiria majibu ya fifa ili mkabidhiwe ubingwa wa msimu uliopita!Anacheza timu ya taifa ya Rwanda? Mchezaji yeyote mwenye kiwango cha kawaida huwa anaongea sana. Vikombe vyoote alivyobeba ni vya sido sifa za nini mbona Tukuyu Stars iliwahi kuwa bingwa. Eti bingwa premier league Tanzania halafu unaweka kumbukumbu.
Haya tuambie FIFA wanasemaje kuhusu ubingwa wenu?Ndivyo akili za wavuvi wa kambale zilivyo. Mafuriko yanaathiri mpaka ubongo wasamehe tu.
Wanajitoa ufahamu Kwa muda Mkuu hao Wazee wa Sizitaki Mbichi Hizi!!!Hiyo premier league unayoiponda si ndio hiyo hiyo mpk leo mnasubiria majibu ya fifa ili mkabidhiwe ubingwa wa msimu uliopita!
tutaonana mwisho wa msimu[emoji3][emoji3]Kwa wale waliooa haishangai mkeo kukukashifu mchana wakati usiku anakupa mambo matamu.
Tunamshukuru kwa kuendelea kuchangia Simba kuongoza ligi tena kwa pointi magoli mengi kuliko Wavuvi wa Kambale FC.
swali gumu hili kwa ma mambumbumbu wa manara[emoji3][emoji3]Haya tuambie FIFA wanasemaje kuhusu ubingwa wenu?
PovuMpumbavu ni yeye aliyetoroka kwao Rwanda kuja kuhemea bongo...kama sio hela za simba saizi si angekuwa kwao misituni huko anapambana na ba mutu ba banyamulenge?