Niyonzima awaita mashabiki wa simba wapumbavu ,asema bado kuna vitu ana vimiss kutoka yanga

Niyonzima awaita mashabiki wa simba wapumbavu ,asema bado kuna vitu ana vimiss kutoka yanga

Kuweka kumbukumbu sawa, Simba ni mbumbumbu na hili tuneambiwa na aliyekuwa mwenyekiti wao.
 
Kiungo aliyesajiliwa kwa mbwembwe na klabu ya simba fadhil Hakizimana Niyonzima katika hali ya kushangaza alivyokuwa anahojiwa mubashara aliwaita mashabiki wa simba wapumbavu ,na kusema mashabiki wa simba wanahoji vitu vya kipumbavu na Niyonzima alizidi kuserereka na kusema ni upumbavu mkubwa kwa mashabiki wa simba kuniuliza kwanini ninazo jezi za yanga ,yanga ni klabu ninayoipenda tumepeana talaka lakini kuna vitu navimiss bado kutoka yanga .



Ndugu zanguni wana simba chonde chonde ukimuona Niyonzima kavaa jezi ya yanga usiende kumuuliza swali la kipumbavu kwa namna alivyotoa povu la hasira kwenye video utasababisha ujikute ICU na kuwapa shida familia yako na mashabiki wa simba wakuchangie pesa ya matabibu

Kwa wale waliooa haishangai mkeo kukukashifu mchana wakati usiku anakupa mambo matamu.
Tunamshukuru kwa kuendelea kuchangia Simba kuongoza ligi tena kwa pointi magoli mengi kuliko Wavuvi wa Kambale FC.
 
Anacheza timu ya taifa ya Rwanda? Mchezaji yeyote mwenye kiwango cha kawaida huwa anaongea sana. Vikombe vyoote alivyobeba ni vya sido sifa za nini mbona Tukuyu Stars iliwahi kuwa bingwa. Eti bingwa premier league Tanzania halafu unaweka kumbukumbu.
Hiyo premier league unayoiponda si ndio hiyo hiyo mpk leo mnasubiria majibu ya fifa ili mkabidhiwe ubingwa wa msimu uliopita!
 
Tatizo wabongo mmekalia umbea na uchonganishi tu.....!!! Mbona kaongea kawaida to kulingana na alivyoulizwa swali.....acheni kutengeza maneno.
 
Kwa wale waliooa haishangai mkeo kukukashifu mchana wakati usiku anakupa mambo matamu.
Tunamshukuru kwa kuendelea kuchangia Simba kuongoza ligi tena kwa pointi magoli mengi kuliko Wavuvi wa Kambale FC.
tutaonana mwisho wa msimu[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom