Au wale ambao jpili wanatupigia makelele kama tupo shuleni na mikengele yao utazan omba ombaTunaomba awapige marufuku na wale jamaa wanaotupigia mikelele alfajiri alfajiri wakati sisi tunataka kulala usingizi wetu...Au double standard, eh?
Wale wanaolazimisha watu waamke kumtafuta muumba wao sijui,bullshitTunaomba awapige marufuku na wale jamaa wanaotupigia mikelele alfajiri alfajiri wakati sisi tunataka kulala usingizi wetu...Au double standard, eh?
We lofa nini kwahiyo tulale macho kwasababu watu wameajiriwa?starehe tuu ndo utulaze macho?idiotNAOMBA ASIINGILIE SOCIAL LIFE KWANI SEKTA YA BAR,CLUB ZIMEAJIRI WATU WENGI SANA NA PIA NI NJIA YA WATU MBALIMBALI KUTAFAKARI JUU YA MAISHA YAO NA KUSTAREHESHA NAFSI ZAO.
*MIJI YOTE DUNIANI HILI LIPO!
Hawafanyi usiku wala maalfajiri kama bokoharamvip kuhusu kengele, ma-speaker makubwa, kuimba kwa kulia, kupiga kelele, kupiga vigelegele..au umezoea mfumo flani.. au ndio unafikiri kwa kutumia tundu linalotolea uchafu mkubwa wa mwili.. jipime..
Kwabiashara yako tulale macho?nikianzisha yanguvpembeni ya bar yako utafanya hiyo biashara?makonda anakurupuka,,,bar unatakiwa ulipe wafanyakazi ,ulipie gharama nyingine za uendashaji,,,halafu mda wa kufungua ni saa 7 hivi hapo ukiniwekea limitation nina earn nini sasa
PumbAAu wale ambao jpili wanatupigia makelele kama tupo shuleni na mikengele yao utazan omba omba
Easy aunt usipaniki ngoja iingie tartiiibPumbA
We ndo unapanic ombaomba wanapiga kengele?bokoharam!Easy aunt usipaniki ngoja iingie tartiiib
***We lofa nini kwahiyo tulale macho kwasababu watu wameajiriwa?starehe tuu ndo utulaze macho?idiot