Abbassalum
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 338
- 176
Kuna taarifa kutoka liwale mkoani lindi wamekumbwa na balaa la njaa, mpaka wanashindia mizizi poli, chanzo azam tv lakini mpaka sasa kitengo cha maafa kutoka of is I ya waziri mkuu awajathibitisha...!!