Njaa Kenya, 2/3 ya watoto wote Turkana wana Utapiamlo (Malnourished)

Halafu utasikia wakisema ATI SISI (KENYA) TUKO NA GDP KUBWA,,,while living standard ya watu wake, ni mbaya zaidi ya mbaya yenyewe.
Hapo hatujasitisha kuingiza misosi kwao.. tukisema stop ndo itakuwa all Kenya's wakubwa kwa watoto utapiamlo utawahusu tu😁😁
 
Tofautisha food shotage na utapiamlo. Food shortage inaweza kutokea anywhere kwa kipindi flani. Tanzania kuwa na shirtage ya chakula kwa kipindi hicho ni jambo la kawaida na nadhani sasa hivi hiyo % imeshuka sana kulingana na factors nyingi kama seasons, nk. Ila utapiamlo ni lishe duni kwa watoto inayotokana na ukisekanaji wa chakula cha kutosha kwa muda mrefu (ndio maisha ya eneo husika)

Wakenya mna maisha magumu kwa kweli muwe mnakubali. Na sielewagi maana ya huo uchumi wa namba mnaotamba nao. Loosers!
 
At 34%, Tanzania suffers the highest levels of malnutrition in EAC. Please, sit down. You clearly aren't built for this.
 
Did you watch the Video?
Wakenya mna maisha magumu Jamani, You need Jesus !
I'm giving you statistics na unarudiarudia video zenye mmepost humu tangu 2011.solve your 78% food shortage first before worrying about your big brother.
 
Pale Turkana ni 2/3 ila Tanzania(yote) ni 78% which ni sawa na 2/3 so in short Tanzania na Turkana wanapumuliana shingoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…