Njaa Kenya, Maelfu ya Wakenya wajitokeza kupokea chakula cha msaada

Njaa Kenya, Maelfu ya Wakenya wajitokeza kupokea chakula cha msaada

Mkuu vitu vingine sio vya kuchekana. Njaa inaweza kutokea popote aisee, tunaweza kutaniana kwenye vitu vingine vingi tu ila kwenye majanga ni vyema kusaidiana na kama hutaki kusaidia ni bora kutodhihaki


Ulishawahi sikia Ulaya kuna njaa? au hata Middle East kule kwenye Jangwa tupu 100%, au hata Egypt?
 
Mkuu vitu vingine sio vya kuchekana. Njaa inaweza kutokea popote aisee, tunaweza kutaniana kwenye vitu vingine vingi tu ila kwenye majanga ni vyema kusaidiana na kama hutaki kusaidia ni bora kutodhihaki
Jirani mbaya muombee njaa; wahenga walinena.
 
Mkuu vitu vingine sio vya kuchekana. Njaa inaweza kutokea popote aisee, tunaweza kutaniana kwenye vitu vingine vingi tu ila kwenye majanga ni vyema kusaidiana na kama hutaki kusaidia ni bora kutodhihaki

Njaa haitokei popote, njaa inatokea sehemu za wazembe, wavivu na wasiojua wanafanya nini,
Mfano wa Sehemu hizo ni kenya. Na kama ikitokea Tanzania basi ni wazi tutakuwa kwenye kundi la wavivu, wazembe na wapumbavu. Tutastahili kufa.
 
Lets be honest hata hapa bongo serikali ikianza kugawa misosi barabarani lazima watu wajae.
Nlishuhudia watu wanapigania chakula cha serikali kwenye msiba wa JPM uwanja wa mkapa
 
Shida hawa wanajionaga kama wazungu huko 1st world, tena na viingereza ndo vinawapumbaza kabisa, mwisho wa siku makapuku tu



STILL NIGGA

Hii ngoma siichokagi. Nahisi hapo youtube kuna view zangu 500
 
Hiyo video ukiangalia juu juu utaona vikatuni ila ukizama kuna ujumbe mzito xaaana kama unajua kuangalia picha na ukiatafsir vizur utapata maan kubwa yaaan we niggers we are doomed and few will make it.
 
Back
Top Bottom