Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #21
Hakika. Kumbe kazi mpaka mbinguni zitaendelea?mkuu no free lunch hata huko mbele mbinguni kwenyewe bure hayupo, lazima usifu na kuabudu ndo ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usicheke ndugu, maisha yamekuwa taugh sana wakati huu wa Corona
mkuu no free lunch hata huko mbele mbinguni kwenyewe bure hayupo, lazima usifu na kuabudu ndo ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu nashangaa wamekuwa wagumu sana. Sielewi kwanini
sina uhakika ila nimeonyesha tu kwamba hata kama kuna kula itakuwa baada ya kuimba na kuabudu.Mbinguni kuna kula mkuu..!?
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahahaha huku ndo unaweza kuzurura kule ni kwa mipango jombiii kazi ni moja tu kule kuimba, kusifu na kuabudu. kula mpaka pambio ziishe.Hakika. Kumbe kazi mpaka mbinguni zitaendelea?
Jiunge na SIM bankingWakuu ngoja twende kwenye mada,
Ndani ya miaka miwili yenye miezi 24 na ushehe mwezi huu nimepigika sana kuliko miezi mingine nadhani ingawa sina kumbukumbu sahihi.
Sasa kuanzia jana kuna fedha niliitazamia kuangia kwenye account yangu ya CRDB, jana ikapita patulo yaani kappa, leo kuanzia saa moja asubuhi mpaka saa na mbili jioni hii nimecheki salio si chini ya mara 25 bilabila. Ila mzigo leo lazima uingie.
Nikimaliza kuandika hapa nacheki tena maana si kwa kufulia huku.
CRDB chondechonde msinipige ban
Nilikuwa nacheki kupitia sim banking na CRDB app. Lengo halikuwa kujua kama kuna nyongeza Lengo ni kuona salio na kwenda kutoa. Halafu sms za alert wakati mwingine hazifiki kabisa au huja kwa kuchelewaJiunge na SIM banking
Salio likiongezeka kwenye account unatumiwa meseji ya notification
Mzigo umeingia ila wamenifyeka. Kweli hakuna free lunch AfricaMkuu, hivi unajua crdb kuna limit ya salio?
Kwamba ukikomba ulichonacho, ikifika nadhani ni buku 9 au 10, huwezi kuitoa!
Sasa unavyoangalia salio, inakatwa hiyo!
Lakini pia kadri unavyozidi kuangalia salio inavyoendelea kupungua, kuna wakati salio inafikia linasoma negative! Acha zile ada za kila mwezi, hivyo siku hela ikiingia si ajabu ukafyekwa hata elfu 8...
Sent from my iPhone using JamiiForums
😀Anayebisha huwezi kuangalia salio bure hayupo sahii kwa sababu;
Ukiwa na salio ukiangalia salio utakatwa 350.
Ukiwa huna salio, hata uangalie mara 1000, utajibiwa You do not have enougha fund. Please fund your account and try again.
Salio likishaingia, kuna msg ya faraja sana huwa inaandika
Dear MR EASY PUNTER Your balance is TZS 825000 (huo ujumbe utakatwa 350 na kwa kweli huwa una faraja ya hali ya juu sana hasa kama ushaangalia salio mara 50)
Hiyo inaitwa overdraft. Watalamba tuHamna salio ndugu, kukiwa na salio wananikata kama hamna hawakati nacheki free
Washanifanyia noma