Njaa ya Chadema imewatoa kwenye mstari. Mbowe anawaza pesa kuliko maslahi ya taifa

Njaa ya Chadema imewatoa kwenye mstari. Mbowe anawaza pesa kuliko maslahi ya taifa

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Dah kumbe ule msemo kuwe adui muombee njaa nj kweli.

Chadema wana hali mbaya sana kifedha.

Wamesahau hata majukumu yao kama wapinzani makini wanapaswa kupinga mambo yasiyo na tija yanayoendele hapa nchini.

Lakini wameunga mkono na wanasifia bila aibu.

Mbowe amefyata mkia kama mbwa koko na sasa tutarajie kuunga juhudi.
 
Mwenyekiti ni bingwa wa mipango....ngoja afidia hasara zake kwanza maana awamu hii ni rafiki kwake..... wengine wote bila bwana mipango Mr chairman ni kama mamba tu nchi kavu...
 
Wapigwe pini hivyohivyo mpaka 2025 waingie kwenye uchaguzi kende zimesinyaa
 
Back
Top Bottom