PistolGang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 392
- 44
Wahitimu shahada za elimu kwa upande wa sanaa, sayansi na uongozi wazidi kukatwishwa tamaa na huku wakiendelea na hali ngumu(njaa kali) baada ya wazira kuendelea kupga kimya juu ya mpango wa ajira mpya kwa walimu wapya.
Hili limekua gumzo lililojaa unyonge hususani kwa wale fresh graduate mara walipoona trh taja (15januar) kupita zzzz bila tamko wala teteza za wizara.
Pendekezo: MOEVT iweke wazi ni lini au kunampango upi juu ya hilo ili vijana wahamishe mawazo na kujipanga upya kwa mambo mengine.
AU VIPI WAPENDWA.
Hili limekua gumzo lililojaa unyonge hususani kwa wale fresh graduate mara walipoona trh taja (15januar) kupita zzzz bila tamko wala teteza za wizara.
Pendekezo: MOEVT iweke wazi ni lini au kunampango upi juu ya hilo ili vijana wahamishe mawazo na kujipanga upya kwa mambo mengine.
AU VIPI WAPENDWA.