LGE2024 Njama: Baada ya kuengua Wagombea wengi, Sasa imeamriwa Mawakala wa Chadema wasiapishwe ili wasiwemo kwenye vituo

LGE2024 Njama: Baada ya kuengua Wagombea wengi, Sasa imeamriwa Mawakala wa Chadema wasiapishwe ili wasiwemo kwenye vituo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.

20241124_103800.jpg
Screenshot_2024-11-22-18-11-34-1.png
Screenshot_2024-11-26-10-26-48-1.png


Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba ccm inapumulia mashine

View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123

Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
Nina swali moja? Upinzani wanapambaniaje jamii isiyo jielewa? Despite ya hila zote wanazofanyiwa
 
Mimi ningekua mgombea wa hicho chama wala nisinge hitaji kunyenyekea kiasi hicho kwenye picha na kushinda ningeshinda tu 🤔
 
Mimi ningekua mgombea wa hicho chama wala nisinge hitaji kunyenyekea kiasi hicho kwenye picha na kushinda ningeshinda tu 🤔
Ndio maana Dunia nzima inashangaa, Polisi wote ni wa kwao, Watekaji wote ni wa kwao, kwanini kujishusha namna hii, hadi ukale chapati mitaani!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba ccm inapumulia mashine

View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123

Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
FB_IMG_1732607375725.jpg
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.

View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123

Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
Wanafanya hivi sababu wanajua akili zenu chadema zitapeleka attention kwenye huu ujinga ili wavuruge uchaguzi wanavyotaka..what s new with these dramas...?
 
...haya unayosema ni km maneno ya juha tu, wewe umekataliwa mawakala wako kufanya viapo, hiyo hali mbaya ya ccm wewe inakusaidia nini chama chako kushinda uchaguzi?
Hongera sana
 
Hongera sana
kwa mtu anayefahamu sayansi ya maneno, mengi ya unayoandika hapa tafsiri yake chama chako either kime-compromise au chama kimebaki kwenye makaratasi tu kujustify kupata hela..hakina impact tena.
 
kwa mtu anayefahamu sayansi ya maneno, mengi ya unayoandika hapa tafsiri yake chama chako either kime-compromise au chama kimebaki kwenye makaratasi tu kujustify kupata hela..hakina impact tena.
Hongera tena
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.

View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123

Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
Ni kituko cha mwaka
 
Back
Top Bottom