Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.
Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.
Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.
Usiondoke
Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.
Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.
Usiondoke