LGE2024 Njama: Baada ya kuengua Wagombea wengi, Sasa imeamriwa Mawakala wa Chadema wasiapishwe ili wasiwemo kwenye vituo

LGE2024 Njama: Baada ya kuengua Wagombea wengi, Sasa imeamriwa Mawakala wa Chadema wasiapishwe ili wasiwemo kwenye vituo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.

View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123

Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
Wala usijali kabisa!

Mimi ni mwanaccm na kadi kabisa na najua mbinu hii inatumika kumpumbaza mjinga mmoja ili aliwe kichwa!!

Hakuna kitu kibaya duniani kama kukubali Kila ushauri unaopewa na mtu bila kuhoji!!

Hivi samiah anajionaje salama kama yeye ameshinda Kila kitu bila kufeli jambo hasta moja!!?

Hajui washindi wote wapo mbinguni ama peponi!!?

"Original plan in and out,code PJLK"

Nadhani L tayari nasubiri PJK zitimie!!
 
Wala usijali kabisa!

Mimi ni mwanaccm na kadi kabisa na najua mbinu hii inatumika kumpumbaza mjinga mmoja ili aliwe kichwa!!

Hakuna kitu kibaya duniani kama kukubali Kila ushauri unaopewa na mtu bila kuhoji!!

Hivi samiah anajionaje salama kama yeye ameshinda Kila kitu bila kufeli jambo hasta moja!!?

Hajui washindi wote wapo mbinguni ama peponi!!?

"Original plan in and out,code PJLK"

Nadhani L tayari nasubiri PJK zitimie!!
Dunia nzima ijue wizi wao wazomewe kila mahali.
 
Ukiwaona walivyo pendeza utafikiri kama vile wana akili kichwani kumbe ni mbumbumbu wapuuzi hawa wanatuharibia nchi
Unapo waona hapo wakiwa wembamba hivyo, watafute 2030 wakisha teuliwa kuwa ma-DC, RC, Wakurugenzi, n.k., n.k.; hiyo ndiyo sababu wapo hapo katika hali hiyo unayo iona, ni sehemu ya maandalizi na matarajio ya kila mmoja wao.

hawa hawaandaliwi kukuza uchumi, au kushiriki katika uzalishaji wa kitu chochote; sasa hivi wanaandaliwa kuwa jeshi la kuwatumikia wageni kuja kuvuna hapa na kuwaacha waTanzania wakiwa hoi. Hakuna kazi ya utwana zaidi ya hii.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.

Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.

View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123

Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.

Usiondoke
Hivi chadema mlitegemea nini? Acheni kulialia
 
mengi ya unayoandika hapa tafsiri yake chama chako either kime-compromise au chama kimebaki kwenye makaratasi tu kujustify kupata hela..hakina impact tena.
Natamani sana akawa anasoma na kutafakari maneno kama haya, huyo aliye elekezewa haya maneno. Siyo kila linalo elekezwa kwa chama ni jambo baya. Yale "maridhiano" yalivuruga sana akili za watu wengi ndani ya chama; na hadi leo hali haijarudi kuwa sawa hata kidogo; hata kwa watu ambao usinge tegemea kuvurugwa akili.
 
...haya unayosema ni km maneno ya juha tu, wewe umekataliwa mawakala wako kufanya viapo, hiyo hali mbaya ya ccm wewe inakusaidia nini chama chako kushinda uchaguzi?
Una mwonea huyu. Una muuliza maswali asiyo kuwa na majibu yake.

Moja ya ujinga ulio fanywa na CHADEMA ni kupuuza kabisa kuwa na wawakilishi wa chama kwenye maeneo kama haya ya jukwaa hili, wanao weza kujibu baadhi ya hoja kama hizi unazo ibua wewe.
 
Back
Top Bottom