Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nina swali moja? Upinzani wanapambaniaje jamii isiyo jielewa? Despite ya hila zote wanazofanyiwaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.
Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba ccm inapumulia mashine
View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123
Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.
Usiondoke
Watanzania wanatakiwa kusaidiwa, iko siku watatuelewa tu, tusiwakatie tamaaNina swali moja? Upinzani wanapambaniaje jamii isiyo jielewa? Despite ya hila zote wanazofanyiwa
Ndio maana Dunia nzima inashangaa, Polisi wote ni wa kwao, Watekaji wote ni wa kwao, kwanini kujishusha namna hii, hadi ukale chapati mitaani!Mimi ningekua mgombea wa hicho chama wala nisinge hitaji kunyenyekea kiasi hicho kwenye picha na kushinda ningeshinda tu π€
Hizo ni drama tu ili ionekane kuna nguvu kubwa ilitumikaπNdio maana Dunia nzima inashangaa, Polisi wote ni wa kwao, Watekaji wote ni wa kwao, kwanini kujishusha namna hii, hadi ukale chapati mitaani!
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.
Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba ccm inapumulia mashine
View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123
Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.
Usiondoke
Hali ya ccm pote ambapo Chadema wameweka mgombea ni mbaya mno
Wanafanya hivi sababu wanajua akili zenu chadema zitapeleka attention kwenye huu ujinga ili wavuruge uchaguzi wanavyotaka..what s new with these dramas...?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.
Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.
View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123
Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.
Usiondoke
...haya unayosema ni km maneno ya juha tu, wewe umekataliwa mawakala wako kufanya viapo, hiyo hali mbaya ya ccm wewe inakusaidia nini chama chako kushinda uchaguzi?Hali ya ccm pote ambapo Chadema wameweka mgombea ni mbaya mno
Hongera sana...haya unayosema ni km maneno ya juha tu, wewe umekataliwa mawakala wako kufanya viapo, hiyo hali mbaya ya ccm wewe inakusaidia nini chama chako kushinda uchaguzi?
ππππCCM ni waoga kuliko kunguru.
CCM ni waoga kuliko kunguru.
kwa mtu anayefahamu sayansi ya maneno, mengi ya unayoandika hapa tafsiri yake chama chako either kime-compromise au chama kimebaki kwenye makaratasi tu kujustify kupata hela..hakina impact tena.Hongera sana
Hongera tenakwa mtu anayefahamu sayansi ya maneno, mengi ya unayoandika hapa tafsiri yake chama chako either kime-compromise au chama kimebaki kwenye makaratasi tu kujustify kupata hela..hakina impact tena.
Ni kituko cha mwakaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, kuna njama iliyoidhinishwa ya kutowaapisha Mawakala wa Chadema Nchi nzima.
Mpango huu wa kishamba una lengo la kuhakikisha vituo vyote vya kupigia kura visiwe na Mawakala wa Chadema ili Wasimamizi waamue watakavyo, Hii ni baada ya tathmini ya Kampeni kuonyesha kwamba CCM inapumulia mashine.
View attachment 3162119View attachment 3162120View attachment 3162123
Bado tuko kila mahali tukifuatilia kila hujuma inayofanyika na tutaweka hapahapa jf kila kitu.
Usiondoke