Hizo zinaitwa technicalities ni mambo ya kawaida kabisa.Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea.
Shetani hajawahi kumshinda MunguYaani Hutu lina akili za ajabu sana anafuta kumwaga damu kwa udi na uvumba ndio maana kajaza huko magari ya jeshi , polisi utafikiri kuna vita , CCM tafadhali turudishieni nchi yetu kutoka mikononi mwa mhutu.View attachment 1565615
Umeongea vyema sana, kule Bungeni ambako tulihitaji watu wasomi watunge Sheria na wasimamie serikali eti " wanapaswa kujua kusoma na kuandika" wengine husimama na kushindwa kusoma kwa ufasaha lakini ni viongozi.Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea...
Kama Unashindwa kusoma usikomentiKiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!
Kiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!
Tena ukiangalia ni mgombea mwenye uzoefu aliekuwa Makamu wa Rais.Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.
Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea..
Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais..
Kama makosa ya jinai etc
Hata deni la serena ni izushi mkubwa..
Mkuu hizo technicalities unazozungumzia wewe hebu tuoneshe hapo kwenye hicho kielelezo.Hizo zinaitwa technicalities ni mambo ya kawaida kabisa.
Kama ni mdau wa mahakama wala hata hutashangazwa nayo.
Ni uongo, hajakosea uzushi tuSasa tarehe ipi hapo iliyokosewa nahiyo ni tarehe ya kiapo
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kama kafanya makusudi ili asigombee unajuaje? Hao janja nyingi Sana, inawezekana alijichadema akavuta mshiko.
Kiapo chake ametia saini 07/07/2020 ambapo tume ilikuwa bado haijatoa fomu!