Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Tume na ccm yenu acheni ushamba na ulimbukeni wenu wa kihutu , wenye mamlaka ya kumkata mgombea ni wananchi peke yake sio tume Wala muweka pingamizi . Wananchi ndio wanaamua Nani wanataka Nani hawamtaki , tume kazi yake ni kusimamia uchaguzi tu sio kupitisha au kuengua wagombea.