Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Jamani tuache ujinga.
Signature hazifanani , zote za Sharif na Muapaji
Dates forgerer kasahau, huku ni 07/09/2020, wakati forgerer kaweka 07/07/2020.
Mhuri ni ule ule lakini mlalo wake haulingani-huku kwenye date 2020 haijafunikwa , forgere kaigusa 2020.
Stupid games!!!
Mkuu hapo kwenye tarehe siyo kuwa amesahau hapo ndiyo alipotengenezea kosa ili Maalim aenguliwe.
 
Kuna mambo mengine ni ya ajabu sana.. hizo sababu zinazofanya wagombea wakose sifa ni za ajabu sana.. na haziingii akilini.. na ni kwanini wanakosea wapinzani pekee? Kama tumeamua kufanya uchaguzi, yafaa tuache wananchi waamue juu ya viongozi wawatakao.. ni jambo baya sana kuwateulia wananchi kiongozi ambaye hawakumtaka..
 
Yote haya yanadhihirisha jinsi ccm ilivyoasiwa na wananchi na wao sasa wanachofanya ni kufa maji tu.
 
Haiwezakani ikawa hiyo ndio hoja toeni hiyo nakala ya pingamizi kutakuwa kuna pingamizi halisi
Kama ulisikiliza maelezo ya Mkurugenzi wa uchaguzi Zanzibar huwezi kumpinga mleta mada. Alisema vyama vilivyompinga ambavyo ni ADC na NLD vimehoji tofauti ya tarehe kwenye fomu ya kiapo, tarehe 7-7-2020 na 7-9-2020.
 
Waliomuwekea pingamizi maalim Seif kuwa amekosea kujaza tarehe ya fomu kwa kujaza tarehe 7/7/2020 ni pingamizi la hoja ya uwongo.

Maalim Seif jinsi anavyoandika Saba anaikata katikati, kwa hiyo hoja ya kuwa amekosea kujaza tarehe ni hoja ya kihuni na ya kizushi!

ZEC iache michezo yake ya kutaka kuwanyima wazanzibar haki ya kuchagua wamtakaye

Hoja yenyewe ya sababu za pingamizi hii hapa kwenye video:

View attachment 1565881


Na fomu yenyewe ya Maalim Seif hii hapa chini:

View attachment 1565884

Sasa swali la msingi ni

Hiyo Tarehe wanayosema kajaza Tarehe 7/7/2020 iko wapi kwenye hiyo fomu?
Wameghushi
JamiiForums2076215742.jpg
 
Tarehe iliyokosewa iliandikwa na jaji au Hamad?
 
Ukiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.

Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.

View attachment 1565612
Waache ujinga, wataiingiza hii nchi kwenye machafuko. Tume wanataka kutumia fomu iliyohaririwa Lumumba badala ya ile aliyowasilisha Maalim Seif Hamad. Wazanzibar usikubali ujinga huu! Polepole hii nchi utaiingiza kwenye vurugu! Mwaka huu mmekamatika hampumui!
 
Documents muhimu kama hizi hazina serial numbers (pre-numbered)!!!!! Ina maana mtu yeyote anaweza kutengeneza ya kwake akaigiza mwandiko. Serial numbers zingesaidia kuonyesha kuwa fomu aliyopewa ndiyo hiyo amerudisha; kama zingetokea fomu mbili tofauti zenye serial number moja, tunaweza kufuatilia kujua forgery imefanywa na nani
 
Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.

Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea.

Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais.

Kama makosa ya jinai etc

Hata deni la serena ni izushi mkubwa.
Rais anatakiwa kuwa makini.
 
Ukiangalia fomu ipo sawa haijakosewa. Mkurugenzi wa tume alisema alijaza Tarehe 7/7 2020, hapa kwenye fomu inaonyesha wazi amejaza tarehe 7/09.

Tusubiri jibu la tume kuhusu hilo pingamizi. Natumaini haki itatendeka.

CCM waache mambo ya Kitoto, kizazi cha leo kina kumbukumbu zote hakidanganyiki tunajua kua fomu wamefojiIMG-20200911-WA0000.jpg
IMG-20200911-WA0000.jpg
IMG-20200911-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom