Pre GE2025 Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo

Pre GE2025 Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wao wanadai hata Nyerere alifanya hivyo, kuwahamisha watu na kuwapeleka vijijini kwenye operation vijiji vya ujamaa.
Sasa kwa sababu Nyerere alifanya, wao hiyo ni amri sio ombi.
Acha kumlinganisa Nyerere na vitu vya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom