Mmekamatwa nyie wakora wa kibongo na mpaka huo sasa utawekewa mitambo ya kisasa tena ya ajabu na waliohusika kuhukumiwa, mlipe ushuru ama mtumie mlango wa Mombasa.Yaan wa kenya bwana mna ona mnabigwa bao mnajifanya eti high tech at mombasa port.... Acheni mbwembwe admit that you are loser
Mmekamatwa nyie wakora wa kibongo na mpaka huo sasa utawekewa mitambo ya kisasa tena ya ajabu na waliohusika kuhukumiwa, mlipe ushuru ama mtumie mlango wa Mombasa.
Iv ww una akili ? Mizigo ni ya wa kenya inayo pitia dsm port to kenya via namanga sasa ww iweje useme eti mmekamatwa ? Are you mmad ?Our investigative journalist are top notch, media zetu Kenya kweli na vichwaa......congratulations Kenyan media.
Hao wakenya mnashirikiana nao, vinginevyo hamgeruhusu ujanja ujanja wa kutangaza bidhaa zilizomo kwenye vyombo kama bidhaa mnazojua wenyewe sivyo, ilhali vyobo vyenyewe vinatokea Dar na kupitia ardhi yenyu Tanganyika.Iv ww una akili ? Mizigo ni ya wa kenya inayo pitia dsm port to kenya via namanga sasa ww iweje useme eti mmekamatwa ? Are you mmad ?
Iv ww unajua unacho ongea au umesinzia kwan serikal mdio inqyo clear mizigo ya client bandarin ? Ww ni shida sana uelewa wakoHao wakenya mnashirikiana nao, vinginevyo hamgeruhusu ujanja ujanja wa kutangaza bidhaa zilizomo kwenye vyombo kama bidhaa mnazojua wenyewe sivyo....ilhali vyobo vyenyewe vinatokea Dar na kupitia ardhi yenyu Tanganyika.
Simgekabidhi tu nyaraka za kweli toka bandari ya Dar kwa hao maofisa wa mpakani moja kwa moja ili muondokane na tuhuma na tashwishi kama hizi?
Hii ni lugha gani umeandika hapo weye Mtanganyika?.......eti hawa ndio waswahili?....hahhahhah.....kalb wahed.Iv ww unajua unacho ongea au umesinzia kwan serikal mdio inqyo clear mizigo ya client bandarin ? Ww ni shida sana uelewa wako
Yes he is mad🏃Iv ww una akili ? Mizigo ni ya wa kenya inayo pitia dsm port to kenya via namanga sasa ww iweje useme eti mmekamatwa ? Are you mmad ?