Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Zimeanyika Njama za makusudi kumtoa kwenye Reli Ila huyu ni kipa Bora bado
UNATAKA NIIONGELEE YANGA TU??Kwani Simba ikifanya vibaya sio ndio furaha ya Yanga?. Waache wafanye vibaya wewe upande kutoka 19 Hadi 2.
KAMA WANAJUA MUDA WAKE UMEKWISHA KWA NINI WALIMLAZIMISHA KUCHEZA KWENYE DABI YA KARIAKOO ??Kila kitu njama njama, iko hivi sometimes lazima ukibali muda wako unapita. Kwenye mpira kuna vitu viwili vinamaliza wachezaji age na injury.
Anzia nalia ngwema fc kipa manula na kiungo chamaJIKITE KWENYE HOJA PUNGUZA MAKASIRIKO.
Hahahahah kiongozi umewaza kikubwaKitu ambacho nakiona kwa Simba wanajaribu kuanza upya Kwa kuwaweka pambeni wale wote ambao inaonyesha Wana nguvu ni kama Yanga walivyofanya na sasa wanafurahia matunda
Manula hana issue, si kipa wa maana hata kidogo. Huyu anafaa kuchezea Kibaigwa FC ama Manungu Rangers.Wazee wa ten percent waliomleta kipa Ayub wamefanikiwa kwa asilimia 70 na wameziteka hisia za mashabiki na kufanya wamsahau bwana mdogo Ally Salim.
Kwani anachokifanya Sasa Ayub Lagreb kilifanywa na bwana Ally Salim kipindi hicho Ayub yupo bench akimshuhudia bwana mdogo anafanya maajabu.
Ngao Ya hisani bwana mdogo alionesha uwezo wa hali ya juu wa kupangua penati za akina Yao, Pakome n.k ilipelekea mpaka Simba nao wakapata taji la kufutia machozi.
Kundi lililomleta Ayub Lagreb baada kuona Ayubu anafungwa magoli ya kizembe kwenye mchezo wa kimataifa wa Power Dynamo, na kelele za Mashabiki nikiwemo na Mimi NALIA NGWENA walishituka na kuona kwenye Derby Bora wamchezeshe Aish Manula ambaye hana match fitness kabisa ili kuficha aibu ya Ayub Lagreb.
Kweli misheni ilifanikiwa kwa 100% Hakuna shabiki wa Simba sc anayemtaka Aish Manula kila wakikumbuka kichapo Cha goli tano kwa moja.
Ikumbukwe Ayub Lagreb kaletwa Simba sc kwa pesa kubwa na mshahara wake ni mkubwa na wazee wa ten percent wananufaika ni ngumu kwa Sasa kucheza Bwana Mdogo Ally Salimu japokuwa ana kiwango kikubwa/sawa na Ayub.
View attachment 2849771
SAIVI MNASEMA HIVYO KWA KUA YUPO INJURYManula hana issue, si kipa wa maana hata kidogo. Huyu anafaa kuchezea Kibaigwa FC ama Manungu Rangers.
Kama kila kipa anakaa golini kwa nini hammuweki metacha pale golini au ni beki yule haiwezekani kila kipa acheze.Wazee wa ten percent waliomleta kipa Ayub wamefanikiwa kwa asilimia 70 na wameziteka hisia za mashabiki na kufanya wamsahau bwana mdogo Ally Salim.
Kwani anachokifanya Sasa Ayub Lagreb kilifanywa na bwana Ally Salim kipindi hicho Ayub yupo bench akimshuhudia bwana mdogo anafanya maajabu.
Ngao Ya hisani bwana mdogo alionesha uwezo wa hali ya juu wa kupangua penati za akina Yao, Pakome n.k ilipelekea mpaka Simba nao wakapata taji la kufutia machozi.
Kundi lililomleta Ayub Lagreb baada kuona Ayubu anafungwa magoli ya kizembe kwenye mchezo wa kimataifa wa Power Dynamo, na kelele za Mashabiki nikiwemo na Mimi NALIA NGWENA walishituka na kuona kwenye Derby Bora wamchezeshe Aish Manula ambaye hana match fitness kabisa ili kuficha aibu ya Ayub Lagreb.
Kweli misheni ilifanikiwa kwa 100% Hakuna shabiki wa Simba sc anayemtaka Aish Manula kila wakikumbuka kichapo Cha goli tano kwa moja.
Ikumbukwe Ayub Lagreb kaletwa Simba sc kwa pesa kubwa na mshahara wake ni mkubwa na wazee wa ten percent wananufaika ni ngumu kwa Sasa kucheza Bwana Mdogo Ally Salimu japokuwa ana kiwango kikubwa/sawa na Ayub.
View attachment 2849771
Aacha uongo nenda Morocco update taarifa zakealiko
Ndo tuseme manula byebyeWazee wa ten percent waliomleta kipa Ayub wamefanikiwa kwa asilimia 70 na wameziteka hisia za mashabiki na kufanya wamsahau bwana mdogo Ally Salim.
Kwani anachokifanya Sasa Ayub Lagreb kilifanywa na bwana Ally Salim kipindi hicho Ayub yupo bench akimshuhudia bwana mdogo anafanya maajabu.
Ngao Ya hisani bwana mdogo alionesha uwezo wa hali ya juu wa kupangua penati za akina Yao, Pakome n.k ilipelekea mpaka Simba nao wakapata taji la kufutia machozi.
Kundi lililomleta Ayub Lagreb baada kuona Ayubu anafungwa magoli ya kizembe kwenye mchezo wa kimataifa wa Power Dynamo, na kelele za Mashabiki nikiwemo na Mimi NALIA NGWENA walishituka na kuona kwenye Derby Bora wamchezeshe Aish Manula ambaye hana match fitness kabisa ili kuficha aibu ya Ayub Lagreb.
Kweli misheni ilifanikiwa kwa 100% Hakuna shabiki wa Simba sc anayemtaka Aish Manula kila wakikumbuka kichapo Cha goli tano kwa moja.
Ikumbukwe Ayub Lagreb kaletwa Simba sc kwa pesa kubwa na mshahara wake ni mkubwa na wazee wa ten percent wananufaika ni ngumu kwa Sasa kucheza Bwana Mdogo Ally Salimu japokuwa ana kiwango kikubwa/sawa na Ayub.
View attachment 2849771
PUNGUZA HASIRA MJOMBA JIKITE KWENYE HOJA.Kama kila kipa anakaa golini kwa nini hammuweki metacha pale golini au ni beki yule haiwezekani kila kipa acheze.
Zimeanyika Njama za makusudi kumtoa kwenye Reli Ila huyu ni kipa Bora bado
Kwann watu hamtaki mabadiliko ? . Kila mchezaji anapaswa apewe nafasi acheni ubaguziTunaomba Mungu arejee kwenye kibarua chake, lakini kuna wakati sisi wenyewe kwa wenyewe huwa tunaharibiana.
Takwimu zipi shekhe mpira auchezwi chumbaniLeta takwimu za ayub na Ally Salimu katika ligi hii usilete huko aliko toka.
Alilia kucheza au walimlazimisha?? Ili aibu aipate yeye.Ndo aruhusu gooli 5, halafu kwann alilia KUCHEZA wakati hajawahi kudaka MECHI hata moja tangu alivoumia!
Huyu ni msaliti wa Simba!
Tatizo si ubaguzi, tatizo ni kuua vipaji vya wachezaji wetu wazawa na kuwaangushia gunia la misumari, mechi ya Simba na Yanga kwanini asingechezeshwa Lakred? Darby ya Kariakoo ni miongoni mwa mechi za kihistoria, hivyo mmemuacha Manula awe kituko cha kupokea goli 5 wakati mnajua hayupo fit.Kwann watu hamtaki mabadiliko ? . Kila mchezaji anapaswa apewe nafasi acheni ubaguzi
HAWEZI KUKUJIBU HUYO NA HATOKUELEWATatizo si ubaguzi, tatizo ni kuua vipaji vya wachezaji wetu wazawa na kuwaangushia gunia la misumari, mechi ya Simba na Yanga kwanini asingechezeshwa Lakred? Darby ya Kariakoo ni miongoni mwa mechi za kihistoria, hivyo mmemuacha Manula awe kituko cha kupokea goli 5 wakati mnajua hayupo fit.