Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani .
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Yuleyule aliyemvua Fatuma KarumeNani huyo mwenye mamlaka ya kumvua uwakili wakili?
Notednaitwa Mwabukusi
Hahahahaha. Nakuaminia kwa forgery mkuu.Noted
✍️
Ipi hio tena?Hahahahaha. Nakuaminia kwa forgery mkuu.
Mlevi hua unakunywa nae pamoja ?Kwa kweli kwa ulevi wa chapombe Mwabukusi hapaswi hata kusikikizwa na mtoto wa nasare.
Wao wanawaza kuua tu akili fupiBadala ya kuwaza unyama jibuni hoja wajinga nyie !
Mlevi...sawa...basi poa hoja zake zijibiwe...walevi Huwa wanaongea fact kumbuka.Badala ya kuwaza unyama jibuni hoja wajinga nyie !
Ndio mwambie km ipo aifikishe hapa JfUshahidi unao wa picha au video ya wakili Mwabukusi akiwa amelewa
Wajibu hoja kwa hoja na majibu yawe mafupi mafupiHuyu mwambukusu hatari sana, na kwa haya matusi ya mtandaoni mnayomtolea inaonesha hiyo kesi atashinda mchana kweupee
Huna hoja mkuu.Utakua umemfananisha na yule mlevi mwenzio mmesoma huko Arusha emu mpigie simu
✍️
Woga tu. Mnaanza kuweweseka. Si muda mrefu mtaanza kujiteka.Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Mbona wanahangaika?Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF