FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Huyo havuliwi uwakili kwa kufunguwa kesi.
Huyo anavuliwa uwakili kwa kusema hovyo akishalewa.
Sisi tunataka wanajeshi wakamcheze kichura Lussu kwa kumtukana Amiri Jeshi Mkuu.
Hicho ki failure wala hatuna habari nacho. Kilieli siasa, sasa kinata ku force wa matusi, kwisha kazi yake huyo. Huyo nnahisi hatutamsikia tena aiongea. Nje au ndani ya uwakili.
Huyo anavuliwa uwakili kwa kusema hovyo akishalewa.
Sisi tunataka wanajeshi wakamcheze kichura Lussu kwa kumtukana Amiri Jeshi Mkuu.
Hicho ki failure wala hatuna habari nacho. Kilieli siasa, sasa kinata ku force wa matusi, kwisha kazi yake huyo. Huyo nnahisi hatutamsikia tena aiongea. Nje au ndani ya uwakili.