Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

Huyo havuliwi uwakili kwa kufunguwa kesi.

Huyo anavuliwa uwakili kwa kusema hovyo akishalewa.

Sisi tunataka wanajeshi wakamcheze kichura Lussu kwa kumtukana Amiri Jeshi Mkuu.

Hicho ki failure wala hatuna habari nacho. Kilieli siasa, sasa kinata ku force wa matusi, kwisha kazi yake huyo. Huyo nnahisi hatutamsikia tena aiongea. Nje au ndani ya uwakili.
 
Huyo havuliwi uwakili kwa kufunguwa kesi.

Huyo anavuliwa uwakili kwa kusema hovyo akishalewa.

Sisi tunataka wanajeshi wakamcheze kichura Lussu kwa kumtukana Amiri Jeshi Mkuu.

Hicho ki failure wala hatuna habari nacho. Kilieli siasa, sasa kinata ku force wa matusi, kwisha kazi yake huyo. Huyo nnahisi hatutamsikia tena aiongea. Nje au ndani ya uwakili.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Utaratibu wa namna hiyo mbona utakuwa kama wa kitumwa?

Huyo mwenye madaraka makubwa kiasi hicho, yeye yupo juu ya sheria?

Na hawa mawakili wote Tanzania watakubali vipi ujinga wa namna hiyo, tena kwenye karne hii ya ishirini na moja?

Hao wanaochukua hatua hiyo, hawaoni kuwa hatua hiyo ikichukuliwa itaonekana dhahiri kuwa jambo zima la Bandari ni hujuma kwa taifa letu?

Baada ya maswali yote hayo, niseme kwamba siamini hayo yanayoelezwa kwenye mada hii.
Mawakili wote watakuwa awajitambui ikitokea wamempoka uwakili, awezekani jeshi kubwa la mawakili waendeshwe ,wakati wao wanasimamia Sheria tumawaamini alafu siasa ziwayumbishe
 
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
Wavuliwe si wanajifanya hawatishwi na mtu, shingo haipiti kichwa
 
Huyo havuliwi uwakili kwa kufunguwa kesi.

Huyo anavuliwa uwakili kwa kusema hovyo akishalewa.

Sisi tunataka wanajeshi wakamcheze kichura Lussu kwa kumtukana Amiri Jeshi Mkuu.

Hicho ki failure wala hatuna habari nacho. Kilieli siasa, sasa kinata ku force wa matusi, kwisha kazi yake huyo. Huyo nnahisi hatutamsikia tena aiongea. Nje au ndani ya uwakili.
Siku hizi upo kwenye corridor za ikulu?
Ulisema hivi hivi issue ya Ally Karume ikaja ikawa kweli,
Baadhi ya comment zako sizipuuzii.
Msameheni Lissu, kwenda kumchezesha kichura kwake ni adhabu kali sana.
 
Back
Top Bottom