Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

IN THE MATTER OF ADVOCATE COMMITEE

AND
IN THE MATTER OF REMOVAL OF ADVOCATE MWAMBUKUSI FROM THE ROLL[emoji3][emoji3]
 
kwenye press eti mtu anasema "ametishwa kuuliwa" 😂😂ili kuonyesha kwamba ana msimamo na huko twittee ni wanyakyusa tu ndo wanataka kutekwa na kuuliwa eti wanafuatiliwa.

Ushamba mzigo yaani utishwe kuuliwa ile kick imehamia na utawala huu...Si mlisema Magufuli ndo alikuwa anawateka na kuwaua.
 
Ujiandae kisaikolojia watashindwa hiyo kesi ata wakiwa 1000 kwa hoja zao dhaifu sio kwa sababu ya hujuma.

Eti mkataba wa IGA auwezi vunjwa, wakati nchi kama uingereza unaweza vunja mkataba kwa kigezo cha ‘frustration’.

Utadhani ni that simple, frustration ina mambo matatu.
(i) impossibility
(ii) subsequent illegality
(iii) Radical changes in circumstances

(i) and (iii) ni matukio ambayo hayakutarajiwa na yapo nje ya uwezo wa pande moja wa mkataba.

Mfano

(i) impossibility: Tsunami imepiga na kuharibu eneo la bandari kiasi kwamba uwekezaji uliopangwa gharama zake zinaweza ongezeka mara dufu tofauti na makubaliano.

(iii) Radical changes of circumstances; nchi imeingia vitani, mwekezaji kwa kuhofia usalama wa investment na maisha yake anaweza jitoa.

Hiyo number mbili “subsequent illegality’ ni exclusion clause aina tofauti na stabilisation clause kinga dhidi ya political risks na breaches za kujiamulia; ambayo wameelezea kwenye 23 (4) taratibu zake.

Na kama sheria za uingereza yote hayo yanafafanuliwa kupitia case laws, sio mambo ya kudhania kutoka kichwani.

Ni genge la watu wanaopiga kelele tu na kuunga unga hoja; kwenye vichwa vyao wakidhani wanaongea mambo ya maana kweli na wenzao huko serikalini awajui lolote.
Nawashauri members wa dizaini hii wablock au wawekeni kwenye block list msione ujinga wao.


Taahira kama hili linatoa mfano wa mkataba wa Tanzania na uingereza. Tuletee huo mkataba wa uingereza tuone na tuufananishe na huu wa Tanzania.


Leo nakublock rasmi
 
Nawashauri members wa dizaini hii wablock au wawekeni kwenye block list msione ujinga wao.


Taahira kama hili linatoa mfano wa mkataba wa Tanzania na uingereza. Tuletee huo mkataba wa uingereza tuone na tuufananishe na huu wa Tanzania.


Leo nakublock rasmi
Hakuna namna ndio dawa iliyobaki member anae kukera mpe block kwisha habari yake.
 
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
Naona mmeongwa na majizi ya bandari
 
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
Yaani upotezee uwakili wako uliyoipigania kwa jasho na damu ktk law school

Hakika Hawa Ni wazalendo Kweli kweli
 
Katika nchi hii demokrasia ni kumsifia kiongozi mkuu tu na mawazo yake nje ya hapo ni jinai.
Tulijua mambo ya kikatili na roho mbaya yamepita na awamu ile...kanzu mpya lakini shehe ni yuleyule
 
Hapo hapana. Ninamfahamu vizuri sana huyu Mwabukusi. Ninatoka kijiji kimoja na Mwabukusi. Ninalijua shina la ukoo wake. Siyo mlevi kama ulivyoandika. Ni dhambi unajitafutia bila sababu ya maana. Kama Mwabukusi amekuzidi hoja, jipange kwanza then urudi hapa kujibu hoja za Mwabukusi.
Mwabukuzi anatokea kijij gani mbeya mkuu
 
Kama wakili akiishi kwenye misingi ya uwakili, ni ngumu sana kumvua uwakili wake.

Ishu ya Fatuma ni yeye alianza kujichanganya mwenyewe kwenye kesi ya Ado Shahibu, na Jaji naye akajichanganya namna ya kumuadhibu. Ila ukweli ni kwamba Fatuma alizingua, ila akapata kichaka kwenye jazba ya Jaji.

kama mtu ukiisoma hiyo kesi ni wazi utaona alipozingua Fatuma.

Muhimu ni kuishi kwenye misingi, wengi wa mawakili hatuishi kwenye misingi ndio maana ni rahisi sana kukutwa na madhila hasa money laundering.
 
Back
Top Bottom