Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Asalama leko.Ma shaa Allah, huo unatangazwa leo au kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asalama leko.Ma shaa Allah, huo unatangazwa leo au kesho.
Kwa sasa ni Dr JPM a devil [emoji48] and a dictator of a centuryNani huyo mwenye mamlaka ya kumvua uwakili wakili?
Na wewe kwa comment zako za kimalaya malaya huitaji hata mwanaume wa kukuzalishaKwa kweli kwa ulevi wa chapombe Mwabukusi hapaswi hata kusikikizwa na mtoto wa nasare.
Kama hujahongwa na DP W Basi wamekununua kabisa. Pole.Subiri zabuni zitangazwe, leo au kesho.
Fununu zinasema katika mashirika yanayogombea kazi, DP World anaibuka kidedea.
Wajomba zangu.Kama hujahongwa na DP W Basi wamekununua kabisa. Pole.
I can live with thatWe ni mjinga sana
Nawashauri members wa dizaini hii wablock au wawekeni kwenye block list msione ujinga wao.Ujiandae kisaikolojia watashindwa hiyo kesi ata wakiwa 1000 kwa hoja zao dhaifu sio kwa sababu ya hujuma.
Eti mkataba wa IGA auwezi vunjwa, wakati nchi kama uingereza unaweza vunja mkataba kwa kigezo cha ‘frustration’.
Utadhani ni that simple, frustration ina mambo matatu.
(i) impossibility
(ii) subsequent illegality
(iii) Radical changes in circumstances
(i) and (iii) ni matukio ambayo hayakutarajiwa na yapo nje ya uwezo wa pande moja wa mkataba.
Mfano
(i) impossibility: Tsunami imepiga na kuharibu eneo la bandari kiasi kwamba uwekezaji uliopangwa gharama zake zinaweza ongezeka mara dufu tofauti na makubaliano.
(iii) Radical changes of circumstances; nchi imeingia vitani, mwekezaji kwa kuhofia usalama wa investment na maisha yake anaweza jitoa.
Hiyo number mbili “subsequent illegality’ ni exclusion clause aina tofauti na stabilisation clause kinga dhidi ya political risks na breaches za kujiamulia; ambayo wameelezea kwenye 23 (4) taratibu zake.
Na kama sheria za uingereza yote hayo yanafafanuliwa kupitia case laws, sio mambo ya kudhania kutoka kichwani.
Ni genge la watu wanaopiga kelele tu na kuunga unga hoja; kwenye vichwa vyao wakidhani wanaongea mambo ya maana kweli na wenzao huko serikalini awajui lolote.
Hakuna namna ndio dawa iliyobaki member anae kukera mpe block kwisha habari yake.Nawashauri members wa dizaini hii wablock au wawekeni kwenye block list msione ujinga wao.
Taahira kama hili linatoa mfano wa mkataba wa Tanzania na uingereza. Tuletee huo mkataba wa uingereza tuone na tuufananishe na huu wa Tanzania.
Leo nakublock rasmi
Nani atamuogopa Kingai ?Walioitwa na DCI wamekwenda au wameikimbia nchi?
Naona mmeongwa na majizi ya bandariTaarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Yaani upotezee uwakili wako uliyoipigania kwa jasho na damu ktk law schoolTaarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.
Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.
Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .
Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .
Usiondoke JF
Mwabukuzi anatokea kijij gani mbeya mkuuHapo hapana. Ninamfahamu vizuri sana huyu Mwabukusi. Ninatoka kijiji kimoja na Mwabukusi. Ninalijua shina la ukoo wake. Siyo mlevi kama ulivyoandika. Ni dhambi unajitafutia bila sababu ya maana. Kama Mwabukusi amekuzidi hoja, jipange kwanza then urudi hapa kujibu hoja za Mwabukusi.
Kijij gani mkuuWewe unamchukia Mwabukusi kwa sababu zako binafsi. Hana ulevi kama usemavyo. Nyumbani kwao ni kwetu ni kati ya mita 100 mpaka mita 120. Ninamjua vizuri sana. Acha dhambi
Wachawi Ni wengi mno Tena wafia diniTena wavuliwe haraka sana.
Mchawi kumbe weweBILA KUPEPESA MACHO WAVULIWE TU HUO UWAKILI.