ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ndo kwanza bado tarehe 2 ila tumeanza kusikilizia maumivu ya huu mwezi unaoitwa NJAANUARY.
Kuna jamaa yangu anasema afadhali wale wasio na pesa siku zote washazoea ugumu wa life ila kama umezoea kushika shika vijipesa halafu hukujipanga ukatanua x mass na mwaka mpya basi week hii itakuwa ngumu sana kwako, ila kuanzia week ijayo mambo yatakaa sawa.
Hii ndo week ya kuuza vitu vyako vya ndani kwa bei chee na utashangaa unakosa mteja.
Kuna jamaa yangu anasema afadhali wale wasio na pesa siku zote washazoea ugumu wa life ila kama umezoea kushika shika vijipesa halafu hukujipanga ukatanua x mass na mwaka mpya basi week hii itakuwa ngumu sana kwako, ila kuanzia week ijayo mambo yatakaa sawa.
Hii ndo week ya kuuza vitu vyako vya ndani kwa bei chee na utashangaa unakosa mteja.