Mtemi Mbojo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 891
- 1,569
Duh..mleta mada unaweza kuwa na HOJA ila sio ungesubiri hata arobaini ya Marehemu Mzee wake Mzazi Kachero Kapola ipite?..Mzee amezikwa last week pale nyumba kwake Pugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa ni kivuli tu nyuma ya mengi....
Exactly. Kama yule wa Arusha anayegawa magari Kila siku. Inaingia Hela ya madawa pale inakuwa safi, inanunua gari unapewa kwisha kazi.Makanisa mengi yanaweza kutumika kwa money laundering kwa sababu hela zinaingia bila maelezo na zikishaingia humo zinakuwa hela halali zinaweza kutakatishwa.
Mchungaji anaweza kupozwa na chake cha juu afanye kazi ya kutakatisha pesa chafu.