Nje ya Box: Mtindo alioanza nao Rais Samia ulikuwa wa kuwavutia akina Mbowe waje wanaswe kirahisi, intelijensia ya CHADEMA iko hoi

Nje ya Box: Mtindo alioanza nao Rais Samia ulikuwa wa kuwavutia akina Mbowe waje wanaswe kirahisi, intelijensia ya CHADEMA iko hoi

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Mimi kama mtaalamu wa Saikolojia na mbobezi wa Masuala ya kijasusi, nimemuogopa sana kuwa Samia Suluhu Hassan si kiumbe wa kawaida alipoingia madarakani alikuwa tayari ameshawagundua wabaya wake na yeye akaanza kuwasogeza karibu kwa kuwarushia mahindi.

Kinachosikitisha ni kwamba Mbowe hakuwa na watu wake wa karibu wanaoweza kumshauri kuangalia hali ya hewa kwamba inaendaje?

Tundu Lissu na Lema nao wako kwenye hii kesi lakini wao machale yaliwacheza wakatoroka mapema ilikuwa ni lazima Rais Samia aanze kwa kuvunga kuwachukia Magufulist na utawala wa Magufuli hakumaanisha ila alivunga lengo ni kuwakamata Magaidi hii ndio maana ya ndege mjanja.
 
Kama Mbowe sio gaidi Basi naomba Mungu iwe kweli au wajitokeze magaidi kweli ili mwana kulitafuta (TZ) mwanakulipata yani tulipate haswaaaa
 
Mimi kama mtaalamu wa Saikolojia na mbobezi wa Masuala ya kijasusi, nimemuogopa sana kuwa Samia Suluhu Hassan si kiumbe wa kawaida alipoingia madarakani alikuwa tayari ameshawagundua wabaya wake na yeye akaanza kuwasogeza karibu kwa kuwarushia mahindi...
Bado unatetea utawala dhalimu na kufurahia ushenzi unaoendelea nchini?!
 
Lissu ameponea chupuchupu naye alikuwa mtegoni siku angedondoka tu Airport wangekula naye sahani moja
Manji karushiwa mtana kaingia King [emoji1780] akatua nchi ,,mara pa!!! kajikuta yupo tunduni ashukuru fedha zake ndiyo zimemnasua mtegoni,
Furaha ya wapuuzi ya kifo cha magufuli ili walevya wasiweze kuona mbele
 
Ikulu ina siri nyingi sana, kiasi mwanabavicha akivaa viatu vya Rais Samia awezi kumuacha Mbowe.
 
Mimi kama mtaalamu wa Saikolojia na mbobezi wa Masuala ya kijasusi, nimemuogopa sana kuwa Samia Suluhu Hassan si kiumbe wa kawaida alipoingia madarakani alikuwa tayari ameshawagundua wabaya wake na yeye akaanza kuwasogeza karibu kwa kuwarushia mahindi.

Kinachosikitisha ni kwamba Mbowe hakuwa na watu wake wa karibu wanaoweza kumshauri kuangalia hali ya hewa kwamba inaendaje?

Tundu Lissu na Lema nao wako kwenye hii kesi lakini wao machale yaliwacheza wakatoroka mapema ilikuwa ni lazima Rais Samia aanze kwa kuvunga kuwachukia Magufulist na utawala wa Magufuli hakumaanisha ila alivunga lengo ni kuwakamata Magaidi hii ndio maana ya ndege mjanja.
Mbowe alikwambia amekimbia kesi?
 
Sawa ila Mbowe sio Gaidi

IMG_20210809_163547.jpg


IMG_20210807_103307.jpg


IMG_20210808_100228.jpg


IMG_20210808_144343.jpg


IMG_20210808_150359.jpg


IMG_20210808_112441.jpg


IMG_20210808_151011.jpg


IMG_20210804_230257.jpg
 
..Magaidi huwa wanasakwa na kukamatwa na INTERPOL.
Upelelezi kwao haujakamilika! Ukikamilika mtaanza kuuliza mbona Wamekamatwa Kenya? Mbona Wamekamatwa Brussels, subiri upelelezi uive!
 
Back
Top Bottom