Lissu hawez kwenda vyama vilivyo fubaa, Cv yake ni kubwa kuliko hivyo vyama1. Chauma: chama kichanga na mwenyekiti ni Alhaj. Jee lissu atakiweza?
2. Nccr mwenyekiti ni Selasini, anamjua vizuri Lissu kwamba friji , jee atafanya nae kazi?
3. Ccm. Ccm ni chama kikubwa chenye dola. Lissu akienda huko atapewa cheo apate kiyoyozi, mafauili ya chama wala hayakaribii
4. ACT wazalendo: lissu happening Zanzibar. Jee ataweza?
Karibuni
Kwa hivyo ataenda ubelgiji?Lissu hawez kwenda vyama vilivyo fubaa, Cv yake ni kubwa kuliko hivyo vyama
Ubelgiji kuna chama gani? Amaekuwa akienda huko sababu ya matibabu kwa muda sasaKwa hivyo ataenda ubelgiji?
Lisu ni mtu wa vurugu na kakosa busara1. Chauma: chama kichanga na mwenyekiti ni Alhaj. Jee lissu atakiweza?
2. NCCR mwenyekiti ni Selasini, anamjua vizuri Lissu kwamba friji , jee atafanya nae kazi?
3. CCM. CCM ni chama kikubwa chenye dola. Lissu akienda huko atapewa cheo apate kiyoyozi, mafauili ya chama wala hayakaribii
4. ACT Wazalendo: Lissu happening Zanzibar. Jee ataweza?
Karibuni
Lissu hatohama chama, labda mumfukuze.1. Chauma: chama kichanga na mwenyekiti ni Alhaj. Jee lissu atakiweza?
2. NCCR mwenyekiti ni Selasini, anamjua vizuri Lissu kwamba friji , jee atafanya nae kazi?
3. CCM. CCM ni chama kikubwa chenye dola. Lissu akienda huko atapewa cheo apate kiyoyozi, mafauili ya chama wala hayakaribii
4. ACT Wazalendo: Lissu happening Zanzibar. Jee ataweza?
Karibuni