GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nawasubiri na bahati nzuri Moto wangu wanaujua.Mkuu kuna ngamia zitakuja kukurushia mawe
Mark my words
Jamaaa hapindishi mambo ananyoosha mle mle. Anajua kusimamia kwenye ukweli. Hapo dunia ya leo haitaki wa kweli inataka wanafikiJose Mourinho wants FIFA to stop African players from representing other countries other than that of their origin. He believes once this is done, Africa countries would start winning the World Cup.
Chanzo: Africa Archives
Binafsi huwa ninawapenda Watu wenye Dharau, Nyodo na Jeuri Kiasili, ila wakiwa ni 'very bright' halafu Wanajiamini pia.
Nashukuru kwa Kulikubali ( Kulielewa ) hili na Muwazoee / Mtuzoee tu kwani hakuna namna.Kuhusu mengine sijui ila nakubaliana na wewe. Watu wenye kiburi,jeuri na dharau wako smart sana.
Wakimpa timu yatatokea yale ya Man u na Ole sendekaMimi kocha wangu bora kabisa ni Selemani Matola! Yaani siku zote akiletewa kocha mkuu kwenye timu, na yeye kuwa kocha msaidizi, basi lazima timu itasua sua kupata matokeo!
Ila akisimama yeye kama yeye sasa baada ya kocha mkuu kutimuliwa, timu inashinda kila mechi! Halafu hana jeuri, nyodo, dharau, wala kiburi! Yaani yuko tofauti kabisa na huyo Mourinho. Na anawapenda wachezaji wake mpaka raha.
Mkuu lakini hapa issue ni mourinhoMimi kocha wangu bora kabisa ni Selemani Matola! Yaani siku zote akiletewa kocha mkuu kwenye timu, na yeye kuwa kocha msaidizi, basi lazima timu itasua sua kupata matokeo!
Ila akisimama yeye kama yeye sasa baada ya kocha mkuu kutimuliwa, timu inashinda kila mechi! Halafu hana jeuri, nyodo, dharau, wala kiburi! Yaani yuko tofauti kabisa na huyo Mourinho. Na anawapenda wachezaji wake mpaka raha.
Jadili mada acha kutoka nje ya madaMimi kocha wangu bora kabisa ni Selemani Matola! Yaani siku zote akiletewa kocha mkuu kwenye timu, na yeye kuwa kocha msaidizi, basi lazima timu itasua sua kupata matokeo!
Ila akisimama yeye kama yeye sasa baada ya kocha mkuu kutimuliwa, timu inashinda kila mechi! Halafu hana jeuri, nyodo, dharau, wala kiburi! Yaani yuko tofauti kabisa na huyo Mourinho. Na anawapenda wachezaji wake mpaka raha.
Kama mtu hana cha kuchangia ni heri anyamaze tu,huu usimba na uyanga ndo unayarudisha maendelea yetu ya soka.Mkuu lakini hapa issue ni mourinho
Lakini siyo dhambi kusifia pia vya kwetu! Wengine huyo Mourinho tunamuona tu kwenye TV! Lakini makocha kama akina Matola, walau tunawaona live uwanjani, na pia mtaani.Mkuu lakini hapa issue ni mourinho
Sawa mkuu! Ngoja nirudi kwenye mada. Hakika Mourinho ni kocha jeuri, kiburi, na mwenye dharau sana.Jadili mada acha kutoka nje ya mada
Tatizo lenyewe waafrica hatuthamini vipaji...huku kwenyewe hamna academies za maana, kuchaguliwa mchezaji mpaka mzazi atoke hela.Mkuu huyu mwamba anajua anacho kufanya
Ila je sie waafrica tupo tayari kubadilika
Mtu kuitwa national team mpaka utoe mlungula
ie mbappe alivyotoswa na Cameroon kisa tuu hakuwa na connection
Sasa umeandika niniMimi kocha wangu bora kabisa ni Selemani Matola! Yaani siku zote akiletewa kocha mkuu kwenye timu, na yeye kuwa kocha msaidizi, basi lazima timu itasua sua kupata matokeo!
Ila akisimama yeye kama yeye sasa baada ya kocha mkuu kutimuliwa, timu inashinda kila mechi! Halafu hana jeuri, nyodo, dharau, wala kiburi! Yaani yuko tofauti kabisa na huyo Mourinho. Na anawapenda wachezaji wake mpaka raha.
Inasikitisha nikama ile RTTatizo lenyewe waafrica hatuthamini vipaji...huku kwenyewe hamna academies za maana, kuchaguliwa mchezaji mpaka mzazi atoke hela.
Mara posho hazijalipwa, mara watu wanawekwa kwenye kambi mbovu basi shida tupu. Timu inaenda world cup eti president wa federation na familia yake wana fly first class huku wachezaji ambao ndio watendaji wanapandishwa economy. Sii ujinga huo.
Mpaka pale waafrica watakapo anza kuwathamini wachezaji wao ndio tutakapo kuwa na ndoto ya kushinda world cup.
Pele alitabirigi kuwa mpaka 2010 timu ya africa itakuwa imeshinda world cup kisa wana vipaji. Alisahau kua mis management, corruption na ubinafsi vingekuwa na mchango mkubwa katika kudidimiza mpira africa.