Nje ya lodge ni mazingira hatarishi kukaa!

Nje ya lodge ni mazingira hatarishi kukaa!

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
5,771
Reaction score
17,849
Kuna vijana wa hovyo sana nchi hii. Utakuta mijitu imeweka kijiwe nje ya lodge/guest house inapiga stori zisizo na kichwa wala miguu.

Hivi nyie mmekosa mahali pa kwenda mpaka mje mkae hapo nje ya guest na kusababisha watu wanashindwa kutoka humo ndani. Si muende uwanjani au sehemu nyingine mkapigie hizo stori zenu?

Nje ya lodge ni mazingira hatari unaweza kuona vitu/watu ambao hukutakiwa kuwaona ikawa shida tena.

Naomba mjiheshimu
 
Fuata kilichokupeleka, ya nje achana nayo.
 
Kuna vijana wa hovyo sana nchi hii. Utakuta mijitu imeweka kijiwe nje ya lodge/guest house inapiga stori zisizo na kichwa wala miguu.

Hivi nyie mmekosa mahali pa kwenda mpaka mje mkae hapo nje ya guest na kusababisha watu wanashindwa kutoka humo ndani. Si muende uwanjani au sehemu nyingine mkapigie hizo stori zenu?

Nje ya lodge ni mazingira hatari unaweza kuona vitu/watu ambao hukutakiwa kuwaona ikawa shida tena.

Naomba mjiheshimu
Na hatutoki hapa leo utajuta
 
Ishu sio tu kuonekana, ishu ni unaonekana na nani?
Halafu wengi mnadhani tunaogopa kuonekana labda tuko na wake za watu, sio kweli.
Mda mwingine unakuta mtu njaa zimekukaba ukachukua guluguja umetinga nalo ka gest ka uchochoroni ili mtu asikuone! Maana kwa brand uliyojijengea mjini wana wakikuona sijui utaeleza nini?
Ishi maisha yako broo,,achana na kuishi mawazoni kwa Wana itakua haina maana ya kuishi sasa!!!
 
Kipindi na balehe niliendaga kuulizia chumba Lodge nkamkuta bi mkubwa mmoja counter nilishindwa kuuliza bei nkageuka
 
Back
Top Bottom