TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Kuna vijana wa hovyo sana nchi hii. Utakuta mijitu imeweka kijiwe nje ya lodge/guest house inapiga stori zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi nyie mmekosa mahali pa kwenda mpaka mje mkae hapo nje ya guest na kusababisha watu wanashindwa kutoka humo ndani. Si muende uwanjani au sehemu nyingine mkapigie hizo stori zenu?
Nje ya lodge ni mazingira hatari unaweza kuona vitu/watu ambao hukutakiwa kuwaona ikawa shida tena.
Naomba mjiheshimu
Hivi nyie mmekosa mahali pa kwenda mpaka mje mkae hapo nje ya guest na kusababisha watu wanashindwa kutoka humo ndani. Si muende uwanjani au sehemu nyingine mkapigie hizo stori zenu?
Nje ya lodge ni mazingira hatari unaweza kuona vitu/watu ambao hukutakiwa kuwaona ikawa shida tena.
Naomba mjiheshimu