Mtu umeingia vizuri palikua na utulivu nje hakuna aliekuona. Unashangaa mda wa kutoka unakuta kundi la vijana wamekaa apo wanang'aa ng'aa mimacho tuu na hawaondoki! Inaudhi sanaSijui ni kwa nini ni rahisi kuingia humo ila kutoka ni kazi ngumu sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu anajua umetoka kufanya niniSijui ni kwa nini ni rahisi kuingia humo ila kutoka ni kazi ngumu sana!
Na hatutoki hapa leo utajutaKuna vijana wa hovyo sana nchi hii. Utakuta mijitu imeweka kijiwe nje ya lodge/guest house inapiga stori zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi nyie mmekosa mahali pa kwenda mpaka mje mkae hapo nje ya guest na kusababisha watu wanashindwa kutoka humo ndani. Si muende uwanjani au sehemu nyingine mkapigie hizo stori zenu?
Nje ya lodge ni mazingira hatari unaweza kuona vitu/watu ambao hukutakiwa kuwaona ikawa shida tena.
Naomba mjiheshimu
Ishi maisha yako broo,,achana na kuishi mawazoni kwa Wana itakua haina maana ya kuishi sasa!!!Ishu sio tu kuonekana, ishu ni unaonekana na nani?
Halafu wengi mnadhani tunaogopa kuonekana labda tuko na wake za watu, sio kweli.
Mda mwingine unakuta mtu njaa zimekukaba ukachukua guluguja umetinga nalo ka gest ka uchochoroni ili mtu asikuone! Maana kwa brand uliyojijengea mjini wana wakikuona sijui utaeleza nini?