Nje ya nyumba ya Rais Mstaafu Mwinyi, Mikocheni mitaro imejaa maji, imeziba

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Ni aibu mazingira anayoishi kiongozi mkubwa wa nchi kuwa na sehemu chafu hiki. Mitaro yote imejaa maji mpaka yanafika kwenye kuta ambazo zipo karibu na hapo ikiwemo na ukuta wa nyumba ya Rais Mstaafu.

Sehemu hizi ambazo wanakaa viongozi muhimu wa nchi zinatakiwa kutunzwa na kuwa vizuri muda wote, ikitokea tumepata ugeni wa muhimu tusiaibike kama taifa.
 

Sasa si ungejitolea kuzibua angalau ungefikiriwa kitengo hata cha shamba boy?
 
Haihusiani na nyumba ya Mwinyi. M watu upande wa pili wa barabara. Kuna bomba lineharibika ambapo yanatoka maji masafi yanafurika kila pahali. And, anyway,wapo watu wengi sana pale nje ya nyumba ya rais,wanachimbachimba mtaro,labda watarekebisha hali hiyo
 
Duh pamoja na kuwa watoto wawili marais mmoja Zanzibar na mwingine huku bara! Wameangalie baba yao, aibu!
 
Picha umeiacha ndani.
 
Sema napendezwa na mitaro ikijaa maji vile kuna samaki wanakuwamo ukiwa tazama ni burudani.

Naona sasa wanafanyia marekebisho
 
Sasa wewe kama mwanausalama hapo si uweke bunduki pembeni ili uzibue hiyo mitaro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…