Njia 10 za Uchumba Salama

Amen mkuu, nashukuru Mungu 1 Yohana 2:19 unanifariji na umenioa mwanga mpya kwaka wa 5 huu unasema "walikuja kwetu ila hawakuwa wakwetu, kwamaana kama wangekuwa wakwetu wangebaki nasi ila waliondoka ili waweze kufunuliwa kuwa hawakuwa wa kwetu"
Amen[emoji120]
 
Akili ya mtoa mada anaijua mwenyewe yaani niko na mtu hatuna ahadi yeyote then isiwe siri pia usiweke na uhakika wala tamuu usipate sio ujinga ++
 
Ukisikia maji yakishamwagika hayazoleki ndio hapo kwenye uzinzi.... hio namba 10 iache tu
 
Upo sahihi ila huyu aliyenioa nilimpa mpaka basi yaani aliridhika mwenyewe .

Kuolewa ni matokeo ila kumnyima mtutu duidu nalo ni moja la kumpa hamasa katika mapenzi kuwa akuoe akuonje akuteme andelee njee.

Mpe umpendaye hadi aridhike ndoa ipo kama atakuwepo.
 
Waerevu watakutia moyo kwa maelezo yako mazuri.

Wajinga wataelika.

Nina shaka na wapumbavu, hao watakukosoa tu.
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…