Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #141
Bado nafasi ipo ya kutengeneza upyaUkisikia maji yakishamwagika hayazoleki ndio hapo kwenye uzinzi.... hio namba 10 iache tu
Hiyo namba 10 nitaikubali kwa sharti moja tu kwamba nitakapokuoa nikakuta ulishatumika tayari navunja ndoa.Habari!
Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:
1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.
Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.
2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.
Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.
3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.
4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.
Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.
5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.
6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.
Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.
7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.
8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.
9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.
Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.
10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.
Niwatakie siku njema
Mtu anapokuwa ndani ya Kristo ya kale yote hupita na huwa Mapya.Hiyo namba 10 nitaikubali kwa sharti moja tu kwamba nitakapokuoa nikakuta ulishatumika tayari navunja ndoa.
Hahahaaa kwa kawaida kama hujawahi kufanya sawa lakini ushawahi it means kuna kiraha flani unakipata, sasa inakuwaje mimi nnayetaka kukuoa unaninyima, Je hako karaha unakapata kwa nani maana uchumba unaweza kudumu mpaka miaka 2 je utakapata kwa nani? Na ukishakula nyama ya mtu lazima uendelee tu so usiniambie kuwa utasimama kusubiri ndoa.Mtu anapokuwa ndani ya Kristo ya kale yote hupita na huwa Mapya.
Wanawake wote tuna Haki ya kuitii hiyo namba 10 bila kujali tunazo bikra au hatuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwahi kufanya hakukupi uhalali wa kuendelea kufanya.Hahahaaa kwa kawaida km hujawahi kufanya sawa lkn ushawahi it means kuna kiraha flani unakipata, ss inakuwaje mm nnayetaka kukuoa unaninyima je hako karaha unakapata kwa nani mana uchumba unaweza kudumu mpk miaka 2 je utakapata kwa nani? Na ukishakula nyama ya mtu lazima uendelee tu so usiniambie kuwa utasimama kusubiri ndoa.
Kwani unadhani utaendelea kufanya kwa kupenda? Ushamegwa ww so ni lazima uendelee hata ukijifanya mgumu jamaa alokumega anakusubiri kwenye ovulation period tu anaomba mzigo, utakataaje wkt keshakufunua? Mm km mwanamke keshawahi kuguswa asiniambie hbr za kusubiri nkamuelewa cz najua atamegwa tu.Kuwahi kufanya hakukupi uhalali wa kuendelea kufanya.
Kuwahi kufanya isiwe sababu ya kufanya tena...
Kuwahi kufanya hakukupotezei Haki ya kujilinda na kutokufanya.
Maamuzi sahihi ya kusubiri Ni muhimu bila kujali background ya mwanzo[emoji4].
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima nimgomee.Kwani unadhani utaendelea kufanya kwa kupenda? Ushamegwa ww so ni lazima uendelee hata ukijifanya mgumu jamaa alokumega anakusubiri kwenye ovulation period tu anaomba mzigo, utakataaje wkt keshakufunua? Mm km mwanamke keshawahi kuguswa asiniambie hbr za kusubiri nkamuelewa cz najua atamegwa tu.
Mm mcmamo wangu pengine hujauelewa dada, ni hv ntakubali kugusana mpk ndoa ila na ww uwe hujaguswa mana ncje nkawa nachezwa shere wanawake wanafki sn[emoji3][emoji3][emoji3]Lazima nimgomee.
Wadada lazima wajifunze kuikimbia hii dhambi.
Mnawaumiza Sana wanawake katika hili na I wish wangejua kukataa.
Kukataa ni haki Yao.
Pole kwa kuwa na mawazo hasi namna hiyo mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm mcmamo pengine hujauelewa dada, ni hv ntakubali kugusana mpk ndoa ila na ww uwe hujaguswa mana ncje nkawa nachezwa shere wanawake wanafki sn[emoji3][emoji3][emoji3]
Ss mbn alikubali kwa asiyetaka kumuoa iweje anikatalie mm ninayetaka kumuoa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ondoa kwanza hayo mawazo hasi.
Kwahiyo unakubali kuhalalisha dhambi???
Mungu hajatuagiza hivyo.
Na ninazidi kuwashauri wadada wasikubali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Point tupuHabari!
Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:
1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.
Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.
2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.
Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.
3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.
4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.
Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.
5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.
6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.
Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.
7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.
8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.
9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.
Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.
10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.
Niwatakie siku njema
Huwezi kumhukumu mtu kwa makosa ya mwanzo.Ss mbn alikubali kwa asiyetaka kumuoa iweje anikatalie mm ninayetaka kumuoa.
Hapo ss ndipo tunapokuja paleee kwenye suala la unafki wa mwanamke, hv unaelewa ule msemo mwanamke asomeshwi? Yn wanawake wapo tofauti sn na cc wanaume they are not fair kabisa, pia kihisia mwanamke na mwanaume wapo tofauti.Huwezi kumhukumu mtu kwa makosa ya mwanzo.
Mwanzo nimekwambia mtu akitubu ya kale hupita na huwa mapya,umeielewa hii sentensi yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sentence mbn nimeielewa mkuu ila we ndo hutaki kunielewa au nikukaripie [emoji3][emoji3][emoji3]Huwezi kumhukumu mtu kwa makosa ya mwanzo.
Mwanzo nimekwambia mtu akitubu ya kale hupita na huwa mapya,umeielewa hii sentensi yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la kusomeshwa ni kweli na nimiweka kwenye point zangu pale juu .Hapo ss ndipo tunapokuja paleee kwenye suala la unafki wa mwanamke, hv unaelewa ule msemo mwanamke asomeshwi? Yn wanawake wapo tofauti sn na cc wanaume they are not fair kabisa, pia kihisia mwanamke na mwanaume wapo tofauti.
Mizani ya mapenzi baina ya mwanamke na mwanaume inatofautiana, mnapoanzisha uhusiano kwa kawaida mwanaume anazd upendo ila baada ya muda upendo unageuka inakuwa mwanamke ndo anapenda zaidi, ss ww unadhani ni kitu gani kinachofanya mwanamke apende zaidi? Au unadhani ni chips kuku[emoji3][emoji3].
Women don't sometimes seem to be fair, unaeza muhudumia kwa kila kitu na akashindwa ku consider, tofauti na men, hapo ss ndipo tunapohofia mana maumivu yake huwa ni makubwa mno yn umehudumia af kumbe kuna mtu anakula kiulaiiniii.
Kama umeielewa usingeandika hayo uliyoandikaHii sentence mbn nimeielewa mkuu ila we ndo hutaki kunielewa au nikukaripie [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaaa sio hawa wanawake wa leo labda ukiona hivyo ni utoto tu huo na c vinginevyo [emoji3][emoji3][emoji3]Hilo la kusomeshwa ni kweli na nimiweka kwenye point zangu pale juu .
Jukumu la kumsomesha mwanamke/mpenzi ni la wazazi pia kumbuka tendo la ndoa ni kwa wanandoa
Kumpenda sana mtu hakuhusiani na hiyo kitu mbona.
Upendo niupendo tu na katika hili nitakubishia sana maana Mimi ni mfano hai..
Huwaga tunatokea tu kupenda sana,tena bila hiyo kitu.Tunampenda mtu hadi anachanganyikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
HaaHahahaaa co hawa wanawake wa leo labda ukiona hivyo ni utoto tu huo na c vinginevyo [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu angalia percentage ya ukatili wa wanawake kwenye mapenzi most of them don't even care about feelings za mwenzie na ndiyo tatizo lenyewe linalofanya wanaume tukatae hbr za kusubiri, ukitaka ndoa vua nikumege zen at least utaziheshimu hisia zangu kinyume cha hapo ni utoto tu mkuu.