Njia 7 za kupendezesha meza ya chakula

Njia 7 za kupendezesha meza ya chakula

Hivi unavijua vile vyumba ambavyo ukiweka tu kitanda kimejaa?
Navifahamu mkuu na nimeshaishi kwenye mazingira hayo,lakini kamwe isiwe ni kusingizio cha kutopendezesha maisha yako na kutokuwa na mpangilio mzuri wa sehemu unayoishi.vyengine wala havina gharama.

7380616d9f88f6339d3de43d325cce43.jpg

80adcb1f786858b60a7fcb2a8e11e354.jpg

e85288301e6e216beebd962303b2cc5a.jpg

cac05645942ba302da6e94b12fb9fd9c.jpg
 
Navifahamu mkuu na nimeshaishi kwenye mazingira hayo,lakini kamwe isiwe ni kusingizio cha kutopendezesha maisha yako na kutokuwa na mpangilio mzuri wa sehemu unayoishi.vyengine wala havina gharama.

7380616d9f88f6339d3de43d325cce43.jpg

80adcb1f786858b60a7fcb2a8e11e354.jpg

e85288301e6e216beebd962303b2cc5a.jpg

cac05645942ba302da6e94b12fb9fd9c.jpg
Hapa suala sio kupendezesha, tatizo ni nafasi ya kuweka hiyo dinning table, sasa kama kitanda kishajaza chumba hiyo meza inakaa wapi? Maana inabidi nitoe kitanda ili niweke meza.
 
Hapa suala sio kupendezesha, tatizo ni nafasi ya kuweka hiyo dinning table, sasa kama kitanda kishajaza chumba hiyo meza inakaa wapi? Maana inabidi nitoe kitanda ili niweke meza.
Anhaa kama ni hivyo basi hii mada itabidi upite tu kujifunza,walengwa nadhani watakuwa wale wenye meza tayari,so wanafundishwa namna ya kuzipamba
 
Anhaa kama ni hivyo basi hii mada itabidi upite tu kujifunza,walengwa nadhani watakuwa wale wenye meza tayari,so wanafundishwa namna ya kuzipamba
Ndio maana nilisema tunaoishi stoo haituhusu.
 
Kwenye maisha kama huwezi kuwa mlima basi walau uwe kichuguu.Zipo dining table na mapambo yake ya bei nafuu tu.Na kwa wale wenye nafasi ndogo pia zipo za saizi ndogo.maisha bila kujitutumua kidogo hauwezi kuendelea,unatakiwa upambane na hali yako sio uizoeee na kujinyongonyesha

6a708abff783827af75a78446bd21b8b.jpg


6d01c0ea686dbf2b4be54963cdf79494.jpg


b1a930a4f0cd8fd6b229eff0b6faff61.jpg


1def87c0aa6dcee2e13df9bbf21fbb0c.jpg


927c80c7b3de0472619d14c42ca7b84e.jpg


f831a23e08dc8209e74b40559bea3891.jpg

c31bfc9eec37bbe2f3a316394fa11d1e.jpg

Hizi hata kwa seremala unatengeneza kwa bei ndogo unaweka na kaua kako juu maisha yanaenda.
Ok
 
Back
Top Bottom