Navifahamu mkuu na nimeshaishi kwenye mazingira hayo,lakini kamwe isiwe ni kusingizio cha kutopendezesha maisha yako na kutokuwa na mpangilio mzuri wa sehemu unayoishi.vyengine wala havina gharama.Hivi unavijua vile vyumba ambavyo ukiweka tu kitanda kimejaa?
Hapa suala sio kupendezesha, tatizo ni nafasi ya kuweka hiyo dinning table, sasa kama kitanda kishajaza chumba hiyo meza inakaa wapi? Maana inabidi nitoe kitanda ili niweke meza.Navifahamu mkuu na nimeshaishi kwenye mazingira hayo,lakini kamwe isiwe ni kusingizio cha kutopendezesha maisha yako na kutokuwa na mpangilio mzuri wa sehemu unayoishi.vyengine wala havina gharama.
Anhaa kama ni hivyo basi hii mada itabidi upite tu kujifunza,walengwa nadhani watakuwa wale wenye meza tayari,so wanafundishwa namna ya kuzipambaHapa suala sio kupendezesha, tatizo ni nafasi ya kuweka hiyo dinning table, sasa kama kitanda kishajaza chumba hiyo meza inakaa wapi? Maana inabidi nitoe kitanda ili niweke meza.
Ndio maana nilisema tunaoishi stoo haituhusu.Anhaa kama ni hivyo basi hii mada itabidi upite tu kujifunza,walengwa nadhani watakuwa wale wenye meza tayari,so wanafundishwa namna ya kuzipamba
uchukue kashonee nguo hahahaAhsante sana nimependa huu uzi
sawaKuwa bachelor sio kisingizio cha kuwa shaghalabaghala.
OkKwenye maisha kama huwezi kuwa mlima basi walau uwe kichuguu.Zipo dining table na mapambo yake ya bei nafuu tu.Na kwa wale wenye nafasi ndogo pia zipo za saizi ndogo.maisha bila kujitutumua kidogo hauwezi kuendelea,unatakiwa upambane na hali yako sio uizoeee na kujinyongonyesha
Hizi hata kwa seremala unatengeneza kwa bei ndogo unaweka na kaua kako juu maisha yanaenda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tupeni mapambo yanayoendana na Hali zetu jamani