Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia AbsaTafadhalini wadau naombeni shule kamili katka hili.. Napokeaje hela toka america!? Au ulaya!? Nahitaji shule tu nijue mbinu, njia za miamala hiyo... Nipo empty kwa hilo... Sio kwamba nna mchongo wa hela toka huko hapana..nipeni elimu tu...tafadhalini
Thanks..mkuu Kuna njia nyingi sana lakini common ni
1. western union
2. MoneyGram
lakini pia kuna online wallets makini sana kama
1. payooner
2. PayPal
lakini pia Kuna bank transfer kupitia SWIFTCODES, Ambapo utahitajika kuwa na account kwenye bank yoyote hapa tz kama tcb nmb etc kisha utampa huyo mtu wa njee swiftwodes za bank na info nyingine kama ac no etc
mkuu Kuna njia nyingi sana lakini common ni
1. western union
2. MoneyGram
lakini pia kuna online wallets makini sana kama
1. payooner
2. PayPal
lakini pia Kuna bank transfer kupitia SWIFTCODES, Ambapo utahitajika kuwa na account kwenye bank yoyote hapa tz kama tcb nmb etc kisha utampa huyo mtu wa njee swiftwodes za bank na info nyingine kama ac no etc
Worldremity ndilo jibu lako.Tafadhalini wadau naombeni shule kamili katka hili.
Napokeaje hela toka america!? Au ulaya!? Nahitaji shule tu nijue mbinu, njia za miamala hiyo.
Nipo empty kwa hilo. Sio kwamba nna mchongo wa hela toka huko hapana.
Nipeni elimu tu afadhalini
Uko nyuma ya wakati sana.mkuu Kuna njia nyingi sana lakini common ni
1. western union
2. MoneyGram
lakini pia kuna online wallets makini sana kama
1. payooner
2. PayPal
lakini pia Kuna bank transfer kupitia SWIFTCODES, Ambapo utahitajika kuwa na account kwenye bank yoyote hapa tz kama tcb nmb etc kisha utampa huyo mtu wa njee swiftwodes za bank na info nyingine kama ac no etc
Hizo njia ni ghali sanaPaypal na online kwa ujumla kwa Tz bado haiwezekani na ni kazi kweli kweli. Ila njia ya 1 na 2 na swftcode nakuunga mkono.
Option namba moja ni ghali.mkuu Kuna njia nyingi sana lakini common ni
1. western union
2. MoneyGram
lakini pia kuna online wallets makini sana kama
1. payooner
2. PayPal
lakini pia Kuna bank transfer kupitia SWIFTCODES, Ambapo utahitajika kuwa na account kwenye bank yoyote hapa tz kama tcb nmb etc kisha utampa huyo mtu wa njee swiftwodes za bank na info nyingine kama ac no etc
Hii mitandao ya sim shida yao ni kwenye rate. Utapewa rate mbovu hadi uone dunia chungu.Worldremity ndilo jibu lako.
Tigopesa ni nzuri zaidi, ni instant ndani ya dakika 5 umepokea.
Pili voda inachukua hadi nusu saa kupokea.
Kuna Xoom pia ni instant inakuja kwenye simu yako kama mpesa au airtel money. Paypal tz haipokei pesa so ondoa hiyo kwa list.Thanks..
Huwezi kupata vyoteHii mitandao ya sim shida yao ni kwenye rate. Utapewa rate mbovu hadi uone dunia chungu.